Na KALUME KAZUNGU MASWALI yameibuka baada ya kubainika kuwa mpango wa serikali kuwapa wavuvi wa Kaunti ya Lamu vitambulisho maalumu vya...
Na RICHARD MAOSI KATIBU wa kudumu katika Wizara ya Elimu anayeweka zingatio kwa elimu ya msingi Dkt Julius Jwan, Jumatatu ameongoza...
Na KENYA NEWS AGENCY SERIKALI ya Kaunti ya Bomet kwa ushirikiano na kampuni za eneo hilo itauza majanichai yanayokuzwa kaunti hiyo moja...
Na GEOFFREY ANENE MATUNDA ya Safari Rally yaendelea kuingia baada ya dereva nyota Thierry Neuville kutangaza kusaidia shirika la kulinda...
Na SAMMY KIMATU SERIKALI imepanga mikakati ya kuwapatia wananchi stima iliyo safi na salama. Mkuu wa tarafa ya South B, Kaunti ya...
Na KENYA NEWS AGENCY WAZAZI wametakiwa kupeleka watoto wao wa umri kati ya miezi tisa na 59 kudungwa chanjo ya kuzuia ugonjwa wa ukambi...
LAWRENCE ONGARO WANAFUNZI wapatao 30 kutoka Shule ya Msingi ya Kamenu mjini Thika wamenufaika na ufadhili kutoka kwa Chuo Kikuu cha...
Na SAMMY WAWERU GAVANA wa Kiambu James Nyoro ametoa onyo kali kwa madaktari na maafisa bandia wa mifugo wanaohangaisha wafugaji na...
Na WAIKWA MAINA MWAMUME na mpenziwe wanaohusishwa na utekaji nyara na kuteswa kwa mfanyabiashara wa Kamukunji, Nairobi, Bi Hafsa Mohamed...
Na JOHN NJOROGE UTATA unaendelea kuzingira kifo cha mfanyabiashara na mkurugenzi wa kampuni moja ya maua, Justus Metho Muinde katika...
Na LEONARD ONYANGO WATOTO wa mitaani, almaarufu chokoraa, wanaorandaranda katikati mwa jiji la Nairobi, Jumatano jioni, walijipata...
Na XINHUA Tafsiri: CHARLES WASONGA ALGIERS, Algeria, WAZIRI Mkuu wa Algeria Abdelazizi Djerad na wanachama wa baraza lake la...