• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 4:54 PM

STAA WA SPOTI: Nguli wa fani ya soka nchini Kenya

NA GEOFFREY ANENE MICHAEL Olunga ni mshambulizi matata wa Kenya na klabu ya Al Duhail nchini Qatar. Nyota huyo maarufu kama Engineer,...

Olunga aibuka Mfungaji Bora dimba la Asia kwa mabao 9

Na GEOFFREY ANENE Nahodha wa Harambee Stars, Michael Olunga aliibuka mfungaji bora wa Klabu Bingwa Asia 2021 baada ya dimba hilo...

Hatimaye Stars, Firat waonja ushindi

Na GEOFFREY ANENE HARAMBEE Stars ilikamilisha kampeni yake ya kufuzu kushiriki Kombe la Dunia 2022 kwa heshima jijini Nairobi,...

Olunga butu Harambee Stars ikiona vimulimuli dhidi ya Mali

Na GEOFFREY ANENE MSHAMBULIAJI matata Michael Olunga alikuwa butu timu ya Harambee Stars ikibebeshwa na Mali magoli 5-0 katika mechi...

Olunga afunga mabao 5 kuisaidia Al Duhail kuzamisha Al Sailiya 5-0

Na GEOFFREY ANENE MSHAMBULIAJI matata wa Kenya, Michael 'Engineer' Olunga alirejea kwa kishindo katika kikosi cha Al...

Olunga akwamilia juu ya jedwali la wafungaji Klabu Bingwa Asia, ana mabao sita baada ya kupachika mawili dhidi ya Esteghlal

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Michael Olunga amedumisha uongozi wake juu ya jedwali la wafungaji wa mabao kwenye Klabu Bingwa Asia...

Al Duhail yatoka sare na Al Ahli Saudi kwenye Klabu Bingwa Asia

Na GEOFFREY ANENE “BAHATI mbaya tuliambulia alama moja pekee. Hata hivyo, bado kuna alama nyingi za kupigania.” Hayo ni maneno ya...

Harambee Stars yafika Togo salama salmini

Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya soka ya Kenya maarufu kama Harambee Stars ilifika salama salmini Jumamosi usiku nchini Togo kwa mechi...

Olunga hatimaye achezeshwa mechi nzima na Al Duhail ikizima Al Gharafa ligini

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Michael Olunga alichezeshwa mechi nzima kwa mara ya kwanza na waajiri wake wapya Al Duhail wakishinda wenyeji Al...

Olunga nje ya Kombe la Dunia la Klabu

Na GEOFFREY ANENE Mabingwa wa Qatar, Al Duhail, ambao wameajiri Mkenya Michael Olunga walibanduliwa Alhamisi kwenye Kombe la Dunia la...

Mambo yalivyokuwa katika dirisha la uhamisho kwa Wakenya ughaibuni

Na GEOFFREY ANENE Wanakabumbu Wakenya ughaibuni walikuwa na shughuli nyingi kutafuta makao mapya katika kipindi cha uhamisho cha Januari...

Olunga afunga hat-trick akisaidia Al Duhail kukung’uta Al Ahli Doha 6-0

Na GEOFFREY ANENE MICHAEL Olunga alifunga ‘hat-trick’ yake ya tano katika soka yake ughaibuni baada ya kuongoza waajiri wake wapya Al...