Tag: tahariri
- by T L
- August 7th, 2022
TAHARIRI: Wanasiasa wamemaliza yao, uamuzi sasa ni wako
NA MHARIRI HATIMAYE, kampeni ambazo zilikuwa zimeteka taifa katika miezi sita iliyopita zimefikia tamati. Baada ya kukurukakara...
- by T L
- August 6th, 2022
TAHARIRI: Twapongeza wanariadha wetu kuletea Kenya fahari
NA MHARIRI NI heshima ya kipekee kwa kila Mkenya kushuhudia mwenzao akisifiwa na kutambuliwa kote duniani kwa kuwa bora zaidi katika...
- by T L
- August 5th, 2022
TAHARIRI: Sote tuwe washindi katika kura juma lijalo
NA MHARIRI HARAKATI ya maandalizi ya uchaguzi mkuu uliosubiriwa kwa hamu na ghamu imekamilika. Kampeni zote zinaisha kesho Jumamosi...
- by T L
- August 2nd, 2022
TAHARIRI: Uamuzi wa kufunga shule ghafla hakika utatatiza wengi
NA MHARIRI UAMUZI wa Wizara ya Elimu kutangaza ghafla kwamba shule zifungwe leo Jumanne, unaashiria uwezekano wa kuwa kuna ukosefu wa...
- by T L
- August 1st, 2022
TAHARIRI: Kuficha unga wa mahindi ni hujuma
NA MHARIRI UFICHUZI wa Waziri wa Kilimo Peter Munya kwamba baadhi ya wafanyabiashara wanaficha unga wa mahindi wa bei nafuu huku Wakenya...
- by T L
- July 26th, 2022
TAHARIRI: Uhaba huu wa vyakula ni fedheha kwa Kenya
NA MHARIRI IMEKUWA kama desturi kwa Kenya kushuhudia uhaba wa bidhaa za vyakula, ambao punde baadaye hufuatwa na kuagiza shehena...
- by T L
- July 25th, 2022
TAHARIRI: IEBC iwatoe shaka wananchi kuhusu mgeni kumiliki vifaa vya uchaguzi
NA MHARIRI MZOZO unaoendelea kuhusu kukamatwa kwa mshukiwa kutoka Venezuela akiwa na vifaa vya uchaguzi unahitaji ufumbuzi wa...
- by T L
- July 22nd, 2022
TAHARIRI: Wahalifu wasitumie mahakama kama ngao
NA MHARIRI HATUA ya Mahakama ya Rufaa kuonya wanasiasa wanaokumbwa na mashtaka kutumia mbinu za kijanja kuidhinishwa na Tume Huru ya...
- by T L
- July 18th, 2022
TAHARIRI: Mjadala wa urais una faida kwa wawaniaji na si busara kuuhepa
NA MHARIRI KESHO Jumanne, Wakenya watapata fursa ya kuwaweka kwenye mizani wanaotaka kuwa manaibu wa rais Agosti 9. Justina Wambui...
- by T L
- July 15th, 2022
TAHARIRI: Wanasiasa wadumishe nidhamu katika siasa
NA MHARIRI KENYA imechukua mkondo mbaya wa kupiga siasa chafu katika kampeni zake. Uhasama unaodhihirika sasa hivi katika kampeni za...
- by T L
- July 14th, 2022
TAHARIRI: Wakenya watatoa uamuzi wa mwisho kuhusu wanasiasa wanaotiliwa shaka
NA MHARIRI UAMUZI wa Jopo la Majaji watatu wa Mahakama Kuu jana kwamba aliyekuwa Gavana wa Nairobi Mike Sonko anaweza kuwania ugavana,...
- by T L
- July 13th, 2022
TAHARIRI: IEBC iwe makini zaidi inapojiandaa kwa uchaguzi
NA MHARIRI TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), inafaa kuwa makini zaidi kuanzia sasa inapojiandaa kwa uchaguzi mkuu wa Agosti...