• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

TUSIJE TUKASAHAU: Bila sare rasmi na beji, ni vigumu raia kujua huyu ni polisi au mkora

KUTOKANA na uwezekano wa kutokea kwa visa vingi vya uhalifu msimu huu wa sherehe za Krismasi na Mwaka Mpya, idadi ya maafisa wa polisi...

TUSIJE TUKASAHAU: Mbona mifuko ya plastiki inaendelea kutumika?

SERIKALI, kupitia Mamlaka ya Kitaifa ya Kusimamia Mazingira (NEMA), ilipiga marufuku utengenezaji, usambazaji, uuzaji na matumizi ya mifuko...

TUSIJE TUKASAHAU: Japhet Koome anaweza tu kuimarisha kitengo cha kutoa ushauri nasaha na huduma za kisaikolojia miongoni mwa polisi

INSPEKTA Jenerali mteule Japhet Koome ameahidi kubuni kitengo maalum cha kuwashughulikia maafisa wa polisi wenye matatizo ya kiakili...

TUSIJE TUKASAHAU: Yusuf Hassan aishinikize serikali itekeleze mapendekezo ya kubuni BAKIKE

MNAMO Jumatano, Bunge la Kitaifa lilipitisha hoja inayopendekeza kubuniwa kwa Baraza la Kiswahili la Kenya (BAKIKE) litakalopiga jeki...

TUSIJE TUKASAHAU: Kunaendaje Rais na ni wewe uliahidi kuwa fedha za Hazina ya Hasla hazingetozwa riba yoyote?

MNAMO Jumamosi wiki jana, Rais William Ruto aliahidi kuwa serikali itaanzisha Hazina ya Hasla mwezi Desemba 2022 kwa ajili ya kutoa mikopo...

TUSIJE TUKASAHAU: Maoni ya umma kuhusu GMOs yanafaa kuzingatiwa

MNAMO Jumatatu Rais William Ruto aliondoa marufuku yaliyowekewa vyakula vilivyofanyiwa mabadiliko ya kisayansi, almaarufu,...

TUSIJE TUKASAHAU: Dkt Ruto, wapi kiwanda cha kutengeneza mbolea ulichoahidi Wakenya?

NAIBU Rais William Ruto ameshikilia kuwa suluhu ya kudumu kwa kupanda kwa bei ya unga wa mahindi ni kupunguzwa kwa gharama ya ukuzaji zao...

TUSIJE TUKASAHAU: Ruto aahidi kuchimba visima Lokitipi kabla kutimiza ahadi ya awali

MNAMO Jumamosi Naibu Rais William Ruto aliahidi kuanzisha miradi kadhaa ya uzalishaji chakula kupitia kilimo cha unyunyiziaji katika Kaunti...

TUSIJE TUKASAHAU: Wakulima wanaomba Nzoia Sugar iwalipe pesa kabla Uhuru astaafu

MAELFU ya wakulima wa miwa katika Kaunti ya Bungoma wameitaka serikali kuu iwalipe pesa ambazo wanaidai kampuni ya sukari ya Nzoia. Wiki...

TUSIJE TUKASAHAU: Rais alikariri kuwa hatakubali hata inchi moja ya himaya ya Kenya kutwaliwa

MNAMO Oktoba 13, 2021, Rais Uhuru Kenyatta alikariri kuwa hatakubali hata inchi moja ya himaya ya Kenya kutwaliwa au kudhibitiwa na nchi...

TUSIJE TUKASAHAU: Ruto alikuwa mstari wa mbele wakati mashine zilianza kutumika kuchuma majanichai

MUUNGANO wa Kenya Kwanza umeahidi kupiga marufuku matumizi ya mashine za kuchuma chai, endapo utashinda urais katika uchaguzi mkuu...

TUSIJE TUKASAHAU: Wakenya walioko katika kambi za IDPs wadi ya Salama wanahangaika sana

MNAMO Agosti 5, 2019 wakati wa mazishi ya aliyekuwa Gavana wa Bomet Joyce Laboso Rais Uhuru Kenyatta aliahidi kuwa serikali yake...