Tag: tusije tukasahau
- by T L
- December 25th, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Bila sare rasmi na beji, ni vigumu raia kujua huyu ni polisi au mkora
KUTOKANA na uwezekano wa kutokea kwa visa vingi vya uhalifu msimu huu wa sherehe za Krismasi na Mwaka Mpya, idadi ya maafisa wa polisi...
- by T L
- December 23rd, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Mbona mifuko ya plastiki inaendelea kutumika?
SERIKALI, kupitia Mamlaka ya Kitaifa ya Kusimamia Mazingira (NEMA), ilipiga marufuku utengenezaji, usambazaji, uuzaji na matumizi ya mifuko...
- by T L
- November 10th, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Japhet Koome anaweza tu kuimarisha kitengo cha kutoa ushauri nasaha na huduma za kisaikolojia miongoni mwa polisi
INSPEKTA Jenerali mteule Japhet Koome ameahidi kubuni kitengo maalum cha kuwashughulikia maafisa wa polisi wenye matatizo ya kiakili...
- by T L
- November 5th, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Yusuf Hassan aishinikize serikali itekeleze mapendekezo ya kubuni BAKIKE
MNAMO Jumatano, Bunge la Kitaifa lilipitisha hoja inayopendekeza kubuniwa kwa Baraza la Kiswahili la Kenya (BAKIKE) litakalopiga jeki...
- by T L
- October 18th, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Kunaendaje Rais na ni wewe uliahidi kuwa fedha za Hazina ya Hasla hazingetozwa riba yoyote?
MNAMO Jumamosi wiki jana, Rais William Ruto aliahidi kuwa serikali itaanzisha Hazina ya Hasla mwezi Desemba 2022 kwa ajili ya kutoa mikopo...
- by T L
- October 6th, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Maoni ya umma kuhusu GMOs yanafaa kuzingatiwa
MNAMO Jumatatu Rais William Ruto aliondoa marufuku yaliyowekewa vyakula vilivyofanyiwa mabadiliko ya kisayansi, almaarufu,...
- by T L
- July 22nd, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Dkt Ruto, wapi kiwanda cha kutengeneza mbolea ulichoahidi Wakenya?
NAIBU Rais William Ruto ameshikilia kuwa suluhu ya kudumu kwa kupanda kwa bei ya unga wa mahindi ni kupunguzwa kwa gharama ya ukuzaji zao...
- by T L
- July 11th, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Ruto aahidi kuchimba visima Lokitipi kabla kutimiza ahadi ya awali
MNAMO Jumamosi Naibu Rais William Ruto aliahidi kuanzisha miradi kadhaa ya uzalishaji chakula kupitia kilimo cha unyunyiziaji katika Kaunti...
- by T L
- July 4th, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Wakulima wanaomba Nzoia Sugar iwalipe pesa kabla Uhuru astaafu
MAELFU ya wakulima wa miwa katika Kaunti ya Bungoma wameitaka serikali kuu iwalipe pesa ambazo wanaidai kampuni ya sukari ya Nzoia. Wiki...
- by T L
- June 14th, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Rais alikariri kuwa hatakubali hata inchi moja ya himaya ya Kenya kutwaliwa
MNAMO Oktoba 13, 2021, Rais Uhuru Kenyatta alikariri kuwa hatakubali hata inchi moja ya himaya ya Kenya kutwaliwa au kudhibitiwa na nchi...
- by T L
- May 25th, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Ruto alikuwa mstari wa mbele wakati mashine zilianza kutumika kuchuma majanichai
MUUNGANO wa Kenya Kwanza umeahidi kupiga marufuku matumizi ya mashine za kuchuma chai, endapo utashinda urais katika uchaguzi mkuu...
- by T L
- May 23rd, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Wakenya walioko katika kambi za IDPs wadi ya Salama wanahangaika sana
MNAMO Agosti 5, 2019 wakati wa mazishi ya aliyekuwa Gavana wa Bomet Joyce Laboso Rais Uhuru Kenyatta aliahidi kuwa serikali yake...