Tag: ukumbi wa lugha na fasihi
- by adminleo
- June 11th, 2020
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Dhana na dhima ya wahusika katika kazi za fasihi
Na MARY WANGARI KATIKA makala ya leo, tutajadili kuhusu mbinu ya wahusika katika usanifu wa kazi za fasihi kwa kuchambua fasili anuwai...
- by adminleo
- May 23rd, 2020
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Aina mbili za ukweli wa kisanaa katika Fasihi
Na ALEX NGURE MWANADAMU ndiye muumba wa kazi ya fasihi na yeye ndiye aiwasilishaye kazi hiyo ya fasihi; na yeye ndiye anayeishi maisha...
- by adminleo
- March 28th, 2020
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Jinsi unavyotakiwa kutumia alama mbalimbali za uakifishaji
Na MARY WANGARI Herufi kubwa MAJINA ya vyeo vya watu au heshima kwa mfano: Rais, Naibu Rais, Waziri, Gavana Seneta, Diwani, Profesa,...
- by adminleo
- March 2nd, 2020
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Mazungumzo hujitokeza kama mtagusano wa kimaneno
Na CHRIS ADUNGO ISTILAHI ‘mazungumzo’ inatumiwa sana katika miktadha isiyo ya kitaaluma kwa kuwa ni mawasiliano semwa yasiyo...
- by adminleo
- February 27th, 2020
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Nadharia na aina za uhakiki katika Fasihi
Na WANDERI KAMAU UHAKIKI huwa kiungo muhimu sana katika kazi za fasihi. Katika makala iliyopita, tuliangazia mwoano wa fasihi na uhakiki...
- by adminleo
- January 31st, 2020
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Kumakinikia kisa kikuu ndiyo njia pekee ya kuibuka na riwaya ya kufana
Na ENOCK NYARIKI SIFA mojawapo ya riwaya ni kuwa na visa vingi ambavyo huungana ili kuunda hadithi kuu. Ijapokuwa visa huwa vingi,...
- by adminleo
- January 24th, 2020
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Methali na misemo ya Abagusii inayochipukia katika ngano – 2
Na ENOCK NYARIKI SUALA lililojitokeza wazi katika mjadala wetu wa awali ni kuwa kuna mshabaha mkubwa baina ya baadhi ya misemo na...
- by adminleo
- January 18th, 2020
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Msambao wa Kiswahili Uganda kabla ya Ukoloni
Na WANDERI KAMAU HISTORIA ya maendeleo na usanifishaji wa Kiswahili pamoja na shughuli za Kamati ya Kiswahili ya Afrika Mashariki...
- by adminleo
- January 18th, 2020
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Teknolojia ya lugha ina umuhimu gani kwa Kiswahili katika Karne ya 21?
Na MARY WANGARI NINI umuhimu wa teknolojia ya lugha kwa Kiswahili katika karne hii? Teknolojia ya lugha ni suala la kisasa katika...
- by adminleo
- January 8th, 2020
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Othografia katika Kiswahili: Sehemu ya Kwanza
Na WANDERI KAMAU KATIKA utangulizi wa kitabu 'A Handbook of the Swahili Language', Askofu Adam Steere alijadili suala la tahajia au hati...
- by adminleo
- January 6th, 2020
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Mchakato wa utafiti katika utamaduni wa Kiswahili
Na MARY WANGARI ILI kufanikisha tafiti kuhusu utamaduni wa Kiswahili, kazi mbalimbali zimehusika ambazo ni pamoja na kitabu cha 'Tungo...
- by adminleo
- January 6th, 2020
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Mwingiliano wa Kiswahili, Kibantu
Na WANDERI KAMAU KATIKA jumla ya masuala yanayohusu lugha ya Kiswahili, hasa uhusiano wake na lugha zingine, uhusiano uliopo baina yake...