• Nairobi
  • Last Updated May 10th, 2024 1:16 PM

Ruto amtaka Raila aeleze madai yake kwa uwazi zaidi

NA WAANDISHI WETU MAKABILIANO kati ya Rais William Ruto na kinara wa Muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya, Bw Raila Odinga, hayaonekani...

Raila amtemea Ruto moto kuhusu kura

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga anaonekana kufaulu kumwekea mtego Rais William Ruto kupitia maagizo...

Raila akemea Chebukati

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga amekana madai ya aliyekuwa mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na...

Ruto aokota waliotupwa na Uhuru

NA CHARLES WASONGA WASHIRIKA wa karibu wa Rais (Mstaafu) Uhuru Kenyatta wanaoshikilia nyadhifa katika idara na mashirika ya serikali,...

Sitastaafu na siendi kokote, Raila asema

MACHARIA GAITHO Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga sasa ametangaza bayana kwamba hatastaafu siasani...

Ziara ya Ruto Nyanza yatia Kalonzo presha

NA PIUS MAUNDU VIONGOZI kutoka eneo la Ukambani wameanzisha kampeni ya kumshiniza kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka kutengana na kiongozi wa...

Wafuasi njiapanda Raila akikana Ruto

NA CHARLES WASONGA MIKAKATI ya kisiasa ya kinara wa Azimio la Umoja Raila Odinga inaonekana kuchanganya wafuasi pamoja na wandani wake...

Maswali chungu nzima baada ya vigogo wa Azimio kususia mkutano wa Azimio uwanjani Kamukunji

NA CHARLES WASONGA INGAWA mkutano wa muungano wa Azimio La Umoja-One Kenya uliofanyika katika uwanja wa kihistoria wa Kamukunji, Nairobi...

‘Nipe nikupe’ ya Ruto na Raila yaendelea

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amejibu kiongozi wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga aliyedai kuwa “utawala” wake ni haramu...

Raila atangaza makabiliano

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa muungano wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga ametangaza masharti na mwelekeo mpya kufuatia ufichuzi...

Kibomu cha Raila chatisha serikali

NA WAANDISHI WETU UFICHUZI wa hivi majuzi kwamba huenda kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga alishinda uchaguzi mkuu wa...

Riggy G akutana na wabunge wa Jubilee kutoka Mlima Kenya kuimarisha ndoto yake ya kuwa ‘mfalme’ wa siasa za eneo hilo

Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais Rigathi Gachagua Ijumaa jioni alikutana na wabunge waliochaguliwa kwa tiketi ya chama cha Jubilee katika...