NA GEOFFREY ANENE BINGWA wa Afrika na Jumuiya ya Madola mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala amewasili jijini Monaco tayari kwa riadha...
Na GEOFFREY ANENE WANAMICHEZO 38 wameingia kambini katika kituo cha michezo cha Kasarani jijini Nairobi tayari kujiandaa kupeperusha...
NA TOTO AREGE HATIMA ya Kenya kushiriki katika dimba la Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kwa vijana wa kike...
NA JOHN ASHIHUNDU AFISA Mkuu Mtendaji wa klabu ya Mathare United Jecton Obure, amedai kwamba baadhi ya wachezaji walichangia katika...
NA MASHIRIKA MATUMAINI ya Harry Kane kujiunga na Bayern Munich ya Ujerumani muhula huu yamedidimia baada ya nahodha huyo wa timu ya taifa...
NA TOTO AREGE KOCHA wa klabu ya Zetech Sparks Bernard Kitolo, ametoa wito kwa wachezaji wa soka wanaotaka kujiunga na timu hiyo...
NA TITUS OMINDE HAKUNA dhamana kwa Ibrahim Rotich, mshukiwa mkuu wa mauaji ya mwanariadha wa kimataifa Agnes Tirop ambaye aliuawa...
Na AYUMBA AYODI MSHIKILIZI wa rekodi ya Afrika mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala anatarajiwa Jumatano, Julai 12, 2023 kuongoza timu ya...
NA JOHN KIMWERE KOCHA wa Leads United, Winston Issa amesema kuwa wapo tayari kukabili wapinzani wao kwenye mechi za makala ya 46...
Na GEOFFREY ANENE MREMBO Cynthia Wanjala Cheruto, ambaye ni Mkenya pekee aliyekuwa amesalia kwenye kitengo cha mchezaji mmoja kila upande...
NA TITUS OMINDE KIVUMBI kinatarajiwa katika michuano ya shule za upili kaunti ya Kakamega hapo kesho Ijumaa wakati michuano hiyo itaanza...
NA MASHIRIKA KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Barcelona na Chelsea, Cesc Fabregas, 36, ameangika daluga zake katika ulingo wa...