• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 1:15 PM

Omanyala atua mjini Monaco kuwinda ushindi katika Diamond League

NA GEOFFREY ANENE BINGWA wa Afrika na Jumuiya ya Madola mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala amewasili jijini Monaco tayari kwa riadha...

Team Kenya yajiandaa michezo ya Jumuiya ya Madola ya chipukizi ikinukia

Na GEOFFREY ANENE WANAMICHEZO 38 wameingia kambini katika kituo cha michezo cha Kasarani jijini Nairobi tayari kujiandaa kupeperusha...

Hatima ya Junior Starlets kushiriki dimba la CECAFA haijulikani

NA TOTO AREGE HATIMA ya Kenya kushiriki katika dimba la Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kwa vijana wa kike...

Afisa adai baadhi ya wachezaji wa Mathare United walihusika katika upangaji matokeo ya mechi za timu

NA JOHN ASHIHUNDU AFISA Mkuu Mtendaji wa klabu ya Mathare United Jecton Obure, amedai kwamba baadhi ya wachezaji walichangia katika...

Kane ndiye anatoshea kwa viatu vya Messi – PSG

NA MASHIRIKA MATUMAINI ya Harry Kane kujiunga na Bayern Munich ya Ujerumani muhula huu yamedidimia baada ya nahodha huyo wa timu ya taifa...

Zetech Sparks yalenga kusuka kikosi ipate kani kali za sumaku

NA TOTO AREGE KOCHA wa klabu ya Zetech Sparks Bernard Kitolo, ametoa wito kwa wachezaji wa soka wanaotaka kujiunga na timu hiyo...

Mshukiwa wa mauaji ya mwanariadha anyimwa tena dhamana

NA TITUS OMINDE HAKUNA dhamana kwa Ibrahim Rotich, mshukiwa mkuu wa mauaji ya mwanariadha wa kimataifa Agnes Tirop ambaye aliuawa...

Omanyala na wenzake mawindoni kutafuta tiketi ya riadha za dunia mbio za 4x100m

Na AYUMBA AYODI MSHIKILIZI wa rekodi ya Afrika mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala anatarajiwa Jumatano, Julai 12, 2023 kuongoza timu ya...

Koth Biro: Leads United watuma salamu kwa wapinzani wao

NA JOHN KIMWERE KOCHA wa Leads United, Winston Issa amesema kuwa wapo tayari kukabili wapinzani wao kwenye mechi za makala ya 46...

Cynthia Wanjala apigwa breki katika awamu ya robo-fainali ya tenisi ya J30 Nairobi

Na GEOFFREY ANENE MREMBO Cynthia Wanjala Cheruto, ambaye ni Mkenya pekee aliyekuwa amesalia kwenye kitengo cha mchezaji mmoja kila upande...

Soka: Green Commandos waapa kurejesha heshima yao

NA TITUS OMINDE KIVUMBI kinatarajiwa katika michuano ya shule za upili kaunti ya Kakamega hapo kesho Ijumaa wakati michuano hiyo itaanza...

Cesc Fabregas aangika daluga, sasa ndiye kocha wa Como nchini Italia

NA MASHIRIKA KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Barcelona na Chelsea, Cesc Fabregas, 36, ameangika daluga zake katika ulingo wa...