NA MWANDISHI WETU MBUNGE wa Lunga Lunga Khatib Mwashetani (pichani) na mwenzake wa Jomvu Bw Badi Twalib wamewasihi wazazi kuwalinda...
NA KNA TUME ya Maadili ya Kupambana na Ufisadi Nchini (EACC) imeahidi kuwa itatwaa pesa na mali kutoka kwa wale ambao walitumia vyeti...
NA JOSEPH OPENDA MJUKUU wa marehemu Daniel Moi, Bw Collins Kibet, bado anakumbwa na masaibu baada ya mkewe waliyetengana kukata rufaa...
NA FARHIYA HUSSEIN TAKRIBAN Wakenya 3,000 mwaka huu watashiriki maombi ya Hija ya kila mwaka Mecca, Saudi Arabia kuungana na Waislamu...
NA WINNIE ONYANDO SERIKALI ya Tanzania imeelezea masikitiko yake kuhusu filamu iliyopeperushwa na BBC ikionyesha jinsi walanguzi wa...
NA DAVID MUCHUNGUH TUME ya Kuajiri Walimu (TSC) imetangaza nafasi 14,460 za kazi ya ualimu katika shule za msingi na upili...
NA GITONGA MARETE MWANAUME ambaye alining'inia kwenye helikopta ambayo ilimbeba Waziri wa Kilimo Peter Munya mnamo Jumatano, atashtakiwa...
NA WAANDISHI WETU WAGOMBEAJI ugavana kupitia Chama cha ODM katika Kaunti za Mombasa na Kilifi, wanajitahidi kujitenga na madai ya...
NA WANDERI KAMAU MAMLAKA ya Ukusanyaji Ushuru (KRA) imezindua mfumo utakaounganisha risiti za biashara na mashine zake za kukusanya...
Na WINNIE ATIENO WATAALAM wa Afya na washikadau katika sekta hiyo wameisihi serikali kuanza kuwapa wanafunzi ambao wanaojihusisha na...
NA DAN OGETTA KAMPUNI moja ya bima nchini imekanusha madai kwamba, baadhi ya maafisa wake wanatumia matamshi ya ubaguzi wa rangi...
NA LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa Kiambu wapatao 50,000 wameahidiwa kwamba watapokea hatimiliki za mashamba yao katika kipindi cha siku...