• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Afueni wakazi wa Carwash-Zimmerman wakiimarishiwa barabara

Na SAMMY WAWERU WAKAZI wa eneo la Carwash lililoko Zimmerman, Nairobi wamepata afueni baada ya barabara ambayo imekuwa ikitatiza...

Ngilu aagizwa afike kortini kueleza sababu ya kutolipa madaktari 19

Na RICHARD MUNGUTI GAVANA wa Kitui, Bi Charity Ngilu, Alhamisi aliagizwa afike kortini Oktoba 14 kwa kukaidi agizo la kuwalipa madaktari...

Wakazi wakeketwa na njaa mifugo ikizidi kuangamia

Na WAANDISHI WETU FAMILIA katika kaunti zinazokumbwa na ukame zinaendelea kuathiriwa na njaa na kiu tangu Rais Uhuru Kenyatta atangaze...

Ni idadi ndogo tu ya wanaojitokeza Thika kujisajili wawe wapigakura

Na LAWRENCE ONGARO HUKU uandikishaji wa wapigakura ukiendelea tangu uanze Jumatatu wiki hii, ni watu wachache wanaojitokeza katika kituo...

Kafyu itaondolewa karibuni, asema Balala

Na MWANDISHI WETU WAZIRI wa Utalii, Bw Najib Balala amedokeza kuwa kafyu ambayo imedumu nchini tangu mwaka 2020 itaondolewa baada ya...

Watumishi wa Kaunti kugoma ‘wasipothaminiwa’

Na COLLINS OMULO WAFANYIKAZI zaidi ya 11,000 wa Kaunti ya Nairobi wametishia kugoma ikiwa Idara ya Huduma za Jiji (NMS) na viongozi wa...

Joho aagizwa kuweka wazi kandarasi ya mradi Buxton

Na PHILIP MUYANGA GAVANA wa Mombasa, Bw Hassan Joho, pamoja na maafisa wakuu wa kaunti hiyo wameagizwa na mahakama wafichue kandarasi na...

Unyakuzi watishia faida za misitu ya Kaya

Na SIAGO CECE UNYAKUZI wa misitu ya Kaya Pwani umetishia kuvuruga mpango wa serikali kuitumia kama vituo vya utalii. Wazee wa Kaya...

Aliyeshtakiwa kwa kumjeruhi mmiliki wa mkahawa jijini kwa kumpiga risasi, afungwa jela miaka 23

Na RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA aliyemmiminia risasi mmiliki wa mkahawa wa Ronalo, almaarufu K’Osewe, William Osewe, wakizozania...

Mwanamume aliyenyimwa kitambulisho kulipwa fidia

Na BRIAN OCHARO SERIKALI imeagizwa kumlipa mwanamume mwenye umri wa miaka 54, fidia ya Sh500,000 kwa kukosa kumbadilishia kitambulisho...

Kenya kuadhimisha Siku ya Utamaduni

Na WINNIE ONYANDO SERIKALI imetangaza Jumatatu kuwa siku ya mapumziko, Kenya ikiadhimisha kwa mara ya kwanza Siku ya Utamaduni Oktoba...

Jamii ya Sengwer yalia viongozi kusahau eneo lao kimaendeleo

Na GERALD BWISA JAMII ya Sengwer katika eneo la Makutano, eneobunge la Cherang'any, Kaunti ya Trans Nzoia, imeshutumu viongozi...