Na SAMMY WAWERU WAKAZI wa eneo la Carwash lililoko Zimmerman, Nairobi wamepata afueni baada ya barabara ambayo imekuwa ikitatiza...
Na RICHARD MUNGUTI GAVANA wa Kitui, Bi Charity Ngilu, Alhamisi aliagizwa afike kortini Oktoba 14 kwa kukaidi agizo la kuwalipa madaktari...
Na WAANDISHI WETU FAMILIA katika kaunti zinazokumbwa na ukame zinaendelea kuathiriwa na njaa na kiu tangu Rais Uhuru Kenyatta atangaze...
Na LAWRENCE ONGARO HUKU uandikishaji wa wapigakura ukiendelea tangu uanze Jumatatu wiki hii, ni watu wachache wanaojitokeza katika kituo...
Na MWANDISHI WETU WAZIRI wa Utalii, Bw Najib Balala amedokeza kuwa kafyu ambayo imedumu nchini tangu mwaka 2020 itaondolewa baada ya...
Na COLLINS OMULO WAFANYIKAZI zaidi ya 11,000 wa Kaunti ya Nairobi wametishia kugoma ikiwa Idara ya Huduma za Jiji (NMS) na viongozi wa...
Na PHILIP MUYANGA GAVANA wa Mombasa, Bw Hassan Joho, pamoja na maafisa wakuu wa kaunti hiyo wameagizwa na mahakama wafichue kandarasi na...
Na SIAGO CECE UNYAKUZI wa misitu ya Kaya Pwani umetishia kuvuruga mpango wa serikali kuitumia kama vituo vya utalii. Wazee wa Kaya...
Na RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA aliyemmiminia risasi mmiliki wa mkahawa wa Ronalo, almaarufu K’Osewe, William Osewe, wakizozania...
Na BRIAN OCHARO SERIKALI imeagizwa kumlipa mwanamume mwenye umri wa miaka 54, fidia ya Sh500,000 kwa kukosa kumbadilishia kitambulisho...
Na WINNIE ONYANDO SERIKALI imetangaza Jumatatu kuwa siku ya mapumziko, Kenya ikiadhimisha kwa mara ya kwanza Siku ya Utamaduni Oktoba...
Na GERALD BWISA JAMII ya Sengwer katika eneo la Makutano, eneobunge la Cherang'any, Kaunti ya Trans Nzoia, imeshutumu viongozi...