• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Hofu pesa za wizi zinapaka tope uchaguzi

NA COLLINS OMULLO MASHIRIKA ya kijamii nchini, yamesema kwamba kuna hatari ya mabilioni ya pesa haramu kutumiwa kwenye kampeni za...

Historia yatia Karua doa kuhusu kupiga vita ufisadi serikalini

NA TAIFA RIPOTA MATUMAINI ya wengi kuwa Bi Martha Karua atasaidia kupigana na ufisadi na kuhakikisha utawala wa sheria umerudishwa...

Rigathi Gachagua aahidi kuwaambia wakazi wa Mathira ‘kiongozi bora wa kunirithi’

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Mathira, Rigathi Gachagua ameahidi wakazi wa eneobunge hilo kwamba atawasaidia kusaka kiongozi...

Baadhi ya wakazi wa Thika washerehekea baada ya Karua kutangazwa mgombea mwenza wa Raila

Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa mji wa Thika walijitokeza barabarani Jumatatu wakishangilia baada ya kinara wa Azimio Raila Odinga kumteua...

Nazlin Umar amteua naibu mwenye umri wa miaka 26

NA KAMAU MAICHUHIE MGOMBEA huru wa urais Nazlin Umar (pichani) amemchagua mwanafunzi wa umri wa miaka 26, kuwa mgombea mwenza wake...

Kalonzo achanganyikiwa baada ya kutoka Azimio, ataka muda wa kutafakari

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka ameonakana kuchanganyikiwa aliposema bado ana nafasi ya kurejea ndani ya muungano...

Raila ajaribu kumzima Ruto kwa ahadi za vyeo

NA WANDERI KAMAU MWANIAJI urais wa mrengo wa Azimio-One Kenya, Bw Raila Odinga, Jumatatu aligawa serikali yake, kwenye mkakati...

Karua apaa Kalonzo akifunganya virago

LEONARD ONYANGO NA COLLINS OMULO ILIKUWA siku ya vifijo na nderemo kote nchini wafuasi wa Muungano wa Azimio wakishangilia kuteuliwa kwa...

Kwa kuteua Karua, Raila alenga kura za wakazi wa Mlima Kenya, wanawake

JUSTUS OCHIENG NA BENSON MATHEKA HATUA ya mwaniaji urais wa muungao wa Azimio, Raila Odinga kumteua Bi Martha Karua kuwa mwaniaji wake...

Karua atambuliwa kwa misimamo thabiti kuhusu utawala wa kisheria

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa Narc-Kenya, Martha Wangari Karua ni mwanasiasa anayetambuliwa kwa misimamo thabiti hasa kuhusu utawala wa...

Gavana Nyoro ateua mgombea mwenza mwenye tajriba ya matibabu

NA SAMMY WAWERU GAVANA wa Kiambu, James Nyoro amemteua Dkt June Njambi Waweru kuwa mgombea mwenza katika uchaguzi mkuu ujao, Agosti 9,...

Nafasi ya Joho Azimio kupepeta siasa Pwani

WINNIE ATIENO NA VALENTINE OBARA HATUA ya kinara wa ODM, Bw Raila Odinga, kutangaza kwamba atamteua Gavana wa Mombasa, Bw Hassan Joho,...