• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 6:50 AM

Arsenal wakomoa Spurs ugani Emirates na kufungua pengo la pointi nne kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA ARSENAL walifungua pengo la alama nne kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) hapo jana baada ya kupepeta watani...

Kocha Jurgen Klopp atetea beki Alexander-Arnold baada ya kupuuzwa na mkufunzi wa timu ya taifa ya Uingereza

Na MASHIRIKA KOCHA Jurgen Klopp wa Liverpool amesema hatawahi kumtema Trent Alexander-Arnold katika kikosi cha kwanza cha timu yake licha...

Raga ya Impala Floodlit kurejea Oktoba baada ya miaka miwili

NA GEOFFREY ANENE MAKALA ya 38 ya raga ya Impala Floodlit yataandaliwa Oktoba 29, Novemba 5 na Novemba 12 katika klabu ya Impala mjini...

Katungwa aendelea kuhangaisha mabeki soka ya wanawake India

NA RUTH AREGE STRAIKA wa Harambee Starlets Elizabeth Katungwa anaendelea kucheka na wavu Ligi Kuu ya Wanawake nchini...

Kenya kuandaa handiboli ya Zone 5 ya U18 na U20 Oktoba

Na AGNES MAKHANDIA KENYA itakuwa mwenyeji wa mashindano ya chipukizi ya handiboli ya Zoni ya Tano ya Shirikisho la Kimataifa la Handiboli...

Namwamba aahidi kufufua sekta ya michezo nchini

NA JOHN ASHIHUNDU WAZIRI mpya wa Michezo, Ababu Namwamba ameahidi kufufua sekta ya spoti kote nchini mara tu atakapoanza kutekeleza wajibu...

Lionel Messi afunga mabao mawili na kusaidia Argentina kuzamisha Jamaica

Na MASHIRIKA LIONEL Messi alishinda mchuano wake wa 100 kimataifa kwa kufunga mabao mawili yaliyosaidia Argentina kupepeta Jamaica 3-0...

Aliyekuwa kiungo wa Nigeria, John Mikel Obi, astaafu soka akiwa na umri wa miaka 35

Na MASHIRIKA KIUNGO wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria, John Mikel Obi, ameangika daluga zake kwenye ulingo wa soka akiwa na umri wa...

Uhispania wakomoa Ureno ugenini na kutinga nusu-fainali za Uefa Nations League

Na MASHIRIKA ALVARO Morata alifunga bao la pekee na la ushindi dhidi ya Ureno mnamo Jumanne usiku jijini Braga na kusaidia timu yake ya...

Mpira wa Vikapu: Timu nne za Kenya zawinda taji la Red Bulls Half Court nchini Misri

NA RUTH AREGE TIMU nne za mpira wa vikapu za wachezaji watatu kila upande (3x3), zinatarajiwa kuondoka nchini leo Jumatano usiku...

Zetech Sparks yasajili watano

NA RUTH AREGE TIMU ya Zetech Sparks ya Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL), imesajili wachezaji watano wapya ikiwa ni kujiandaa kwa msimu...

Ufaransa waponea kushushwa ngazi kwenye Uefa Nations League licha ya kutandikwa na Denmark ugenini

Na MASHIRIKA MABINGWA wa dunia, Ufaransa, waliponea chupuchupu kuteremshwa ngazi kutoka makundi ya vikosi vya haiba kubwa kwenye Uefa...