Na MASHIRIKA ARSENAL walifungua pengo la alama nne kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) hapo jana baada ya kupepeta watani...
Na MASHIRIKA KOCHA Jurgen Klopp wa Liverpool amesema hatawahi kumtema Trent Alexander-Arnold katika kikosi cha kwanza cha timu yake licha...
NA GEOFFREY ANENE MAKALA ya 38 ya raga ya Impala Floodlit yataandaliwa Oktoba 29, Novemba 5 na Novemba 12 katika klabu ya Impala mjini...
NA RUTH AREGE STRAIKA wa Harambee Starlets Elizabeth Katungwa anaendelea kucheka na wavu Ligi Kuu ya Wanawake nchini...
Na AGNES MAKHANDIA KENYA itakuwa mwenyeji wa mashindano ya chipukizi ya handiboli ya Zoni ya Tano ya Shirikisho la Kimataifa la Handiboli...
NA JOHN ASHIHUNDU WAZIRI mpya wa Michezo, Ababu Namwamba ameahidi kufufua sekta ya spoti kote nchini mara tu atakapoanza kutekeleza wajibu...
Na MASHIRIKA LIONEL Messi alishinda mchuano wake wa 100 kimataifa kwa kufunga mabao mawili yaliyosaidia Argentina kupepeta Jamaica 3-0...
Na MASHIRIKA KIUNGO wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria, John Mikel Obi, ameangika daluga zake kwenye ulingo wa soka akiwa na umri wa...
Na MASHIRIKA ALVARO Morata alifunga bao la pekee na la ushindi dhidi ya Ureno mnamo Jumanne usiku jijini Braga na kusaidia timu yake ya...
NA RUTH AREGE TIMU nne za mpira wa vikapu za wachezaji watatu kila upande (3x3), zinatarajiwa kuondoka nchini leo Jumatano usiku...
NA RUTH AREGE TIMU ya Zetech Sparks ya Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL), imesajili wachezaji watano wapya ikiwa ni kujiandaa kwa msimu...
Na MASHIRIKA MABINGWA wa dunia, Ufaransa, waliponea chupuchupu kuteremshwa ngazi kutoka makundi ya vikosi vya haiba kubwa kwenye Uefa...