Na MASHIRIKA KOCHA wa zamani wa Juventus, Andrea Pirlo, ameteuliwa kuwa mkufunzi wa kikosi cha Ligi ya Daraja ya Pili nchini Italia (Serie...
NA AYUMBA AYODI EDWIN Kiptoo na Muethiopia Haile Mekonnen ni wakimbiaji watajika wa hivi punde kuingia Nairobi City Marathon...
Na MASHIRIKA MANCHESTER City wamemsajili kiungo matata raia wa Croatia, Mateo Kovacic, kwa kima cha Sh4.5 bilioni kutoka Chelsea. Hata...
NA LAWRENCE ONGARO HUKU mchezo wa karate ukizidi kuimarika eneo la Kati, kocha wa karate kutoka Murang'a Jediel Mutua amebuni timu ya...
Na AYUMBA AYODI WAKIMBIAJI kutoka Ethiopia na Tanzania wako katika orodha ya zaidi ya washiriki 6,000 waliojiandikisha kutimka kwenye...
Na MASHIRIKA KALIDOU Koulibaly, 32, amekuwa mchezaji wa hivi punde zaidi wa Chelsea kuyoyomea Saudi Arabia baada ya kusajiliwa na...
Na MASHIRIKA TOTTENHAM Hotspur wamemsajili kipa matata raia wa Italia, Guglielmo Vicario, kwa miaka mitano kutoka kikosi cha Empoli...
NA TOTO AREGE NATION FC imejumuishwa katika Kundi C katika mashindano ya soka ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo (SJAK)...
Na MASHIRIKA LUKA Modric ametia saini mkataba mpya wa mwaka mmoja utakaomshuhudia sasa akichezea Real Madrid ya Uhispania hadi Juni...
Na MASHIRIKA ROY Hodgson amekubali kusalia kuwa kocha wa Crystal Palace msimu ujao wa 2023-24. Mkufunzi huyo mwenye umri wa miaka 75...
NA TOTO AREGE TIMU ya Police FC ya Ligi Kuu ya Shirikisho la Soka nchini (FKF-PL) Kenya Police FC, imeanza kukuza soka ya wanawake...
Na MASHIRIKA NAHODHA wa Aston Villa, John McGinn, ametia saini mkataba mpya utakaomshuhudia akiendelea kuchezea kikosi hicho cha Ligi...