• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 9:50 AM

Kocha Andrea Pirlo apokezwa mikoba ya Sampdoria kwa miaka miwili

Na MASHIRIKA KOCHA wa zamani wa Juventus, Andrea Pirlo, ameteuliwa kuwa mkufunzi wa kikosi cha Ligi ya Daraja ya Pili nchini Italia (Serie...

Kiptoo aingia Nairobi City Marathon washiriki wakigonga 8,000

NA AYUMBA AYODI EDWIN Kiptoo na Muethiopia Haile Mekonnen ni wakimbiaji watajika wa hivi punde kuingia Nairobi City Marathon...

Manchester City wajinasia huduma za kiungo Mateo Kovacic kutoka Chelsea

Na MASHIRIKA MANCHESTER City wamemsajili kiungo matata raia wa Croatia, Mateo Kovacic, kwa kima cha Sh4.5 bilioni kutoka Chelsea. Hata...

Warembo wa Gatura wajiimarisha kwa mchezo wa karate

NA LAWRENCE ONGARO HUKU mchezo wa karate ukizidi kuimarika eneo la Kati, kocha wa karate kutoka Murang'a Jediel Mutua amebuni timu ya...

Fahamu ada wanazotozwa washiriki wa Nairobi City Marathon

Na AYUMBA AYODI WAKIMBIAJI kutoka Ethiopia na Tanzania wako katika orodha ya zaidi ya washiriki 6,000 waliojiandikisha kutimka kwenye...

Beki Kalidou Koulibaly abanduka Chelsea na kuyoyomea Saudi Arabia kuchezea Al-Hilal

Na MASHIRIKA KALIDOU Koulibaly, 32, amekuwa mchezaji wa hivi punde zaidi wa Chelsea kuyoyomea Saudi Arabia baada ya kusajiliwa na...

Tottenham wajinasia kipa matata Guglielmo Vicario

Na MASHIRIKA TOTTENHAM Hotspur wamemsajili kipa matata raia wa Italia, Guglielmo Vicario, kwa miaka mitano kutoka kikosi cha Empoli...

Nation FC yapangwa katika Kundi C michuano ya SJAK

NA TOTO AREGE NATION FC imejumuishwa katika Kundi C katika mashindano ya soka ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo (SJAK)...

Modric sasa kuchezea Real Madrid hadi Juni 2024

Na MASHIRIKA LUKA Modric ametia saini mkataba mpya wa mwaka mmoja utakaomshuhudia sasa akichezea Real Madrid ya Uhispania hadi Juni...

Mkongwe Roy Hodgson kuendelea kudhibiti mikoba ya Crystal Palace msimu wa 2023-24

Na MASHIRIKA ROY Hodgson amekubali kusalia kuwa kocha wa Crystal Palace msimu ujao wa 2023-24. Mkufunzi huyo mwenye umri wa miaka 75...

Thika Queens sasa yamilikiwa na Police FC

NA TOTO AREGE TIMU ya Police FC ya Ligi Kuu ya Shirikisho la Soka nchini (FKF-PL) Kenya Police FC, imeanza kukuza soka ya wanawake...

Nahodha John McGinn kuendelea kuchezea Aston Villa hadi 2027

Na MASHIRIKA NAHODHA wa Aston Villa, John McGinn, ametia saini mkataba mpya utakaomshuhudia akiendelea kuchezea kikosi hicho cha Ligi...