• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 12:52 PM

Ukweli kuhusu nywele kavu na jinsi ya kumaliza tatizo hili

NA MARGARET MAINA [email protected] Wakati ukigusa nywele zako unahisi ukavu na pia kuwa nyepesi sana, huwa ni rahisi kukatika...

BAHARI YA MAPENZI: Je, unakosa furaha katika mahusiano?

SIZARINA HAMISI Na BENSON MATHEKA TUNAJUA na tumeona watu ambao siku zote huwa hawana furaha, kazi ni kulalamika mfululizo, kukosoa,...

HUKU USWAHILINI: Usishangae kuona tukichakata ubongo kupita kiasi Uswahilini

NA SIZARINA HAMISI USWAHILINI kuna mengi ambayo wale wasioishi huku wanaweza wasielewe. Kikubwa huku kwetu ni matumizi makubwa ya...

MALEZI KIDIJITALI: Athari mseto za matumizi ya dijitali kwa familia

MATUMIZI ya dijitali yamebadilisha muundo na uhusiano katika familia na athari zake zinaweza kuwa hasi au chanya. Haya ni kwa mujibu wa...

UJAUZITO NA UZAZI: Umri sahihi wa mtoto kuanza kukaa mwenyewe

NA PAULINE ONGAJI KUNA wazazi wanaokumbwa na wasiwasi watoto wao wanapokawia kujihimili au kukaa. Lakini hili sio jambo ambalo linapaswa...

MAPISHI KIKWETU: Matoke na nyama ya mbuzi iliyokaangwa

NA MARGARET MAINA [email protected] Muda wa kuandaa: Dakika 20 Muda wa mapishi: Dakika 40 Walaji: 3 Vinavyohitajika kilo 1...

MAPISHI KIKWETU: Mchuzi wa njegere na viazi mbatata

NA MARGARET MAINA [email protected] Muda wa kuandaa: Dakika 20 Muda wa mapishi: Dakika 40 Walaji: 2 Vinavyohitajika ...

Chakula kinachoweza kusaidia kuimarisha nywele

NA MARGARET MAINA [email protected] KUNA mengi ambayo hufanya nywele zako ziwe zenye afya. Kwa mfano, usafi mzuri, kukata...

MAPISHI KIKWETU: Pilipili ya kukaanga

NA MARGARET MAINA [email protected] Muda wa kuandaa: Dakika 10 Muda wa mapishi: Dakika 15 Inatengeneza kopo...

Vidokezo vya maandalizi ya chakula kwa wenye shughuli nyingi

NA MARGARET MAINA [email protected] MKIWA wazazi, mnataka kuhakikisha kwamba watoto wenu wanakula vizuri na njia bora ya kufanya...

BAHARI YA MAPENZI: Bosi wa kijakazi mume au mke?

SIZARINA HAMISI Na BENSON MATHEKA WANASEMA ukitaka kuishi vizuri na mkeo ama mumeo, elewa yale yanayomhusu na yale pia...

PENZI LA KIJANJA: Ashiki ni kama pombe, ukilewa utajuta…

NA BENSON MATHEKA UNAHISI amekupagawisha hadi unakosa usingizi ukimuwaza? Unashindwa kula au kufanya kazi ukimfikiria? Usipomuona au...