• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 11:13 AM

Ngome za Raila zadumisha amani, utulivu

NA WAANDISHI WETU KULIKUWA na utulivu katika ngome ya kiongozi wa Azimio Raila Odinga ya Nyanza baada ya Mahakama ya Upeo kutupilia...

Juhudi za mawaziri kuzima azma ya Ruto zilivyozimika

NA BENSON MATHEKA KUSHINDWA kwa mgombea urais wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga kumeacha maafisa wa serikali...

Uhuru akubali uamuzi kwa shingo upande

NA CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta amekariri kujitolea kwake kusimamia mpito wa mamlaka kwa njia ya amani kwa utawala ujao wa Rais...

Kiraitu sasa adai Munya ndiye alichangia kushindwa kwake na Bi Mwangaza

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa chama cha Devolution Empowerment Party (DEP) Kiraitu Murungi sasa anadai “hujuma” ndani ya muungano...

Sina ubaya na Rais Kenyatta, asema Dkt Ruto

NA SAMMY WAWERU RAIS mteule William Ruto ameahidi kuzungumza na Rais anayeondoka, Uhuru Kenyatta kuhusu mchakato wa kupokezwa...

Nassir akabiliwa na changamoto tele katika kutatua suala la taka

NA FARHIYA HUSSEIN GAVANA mteule wa kaunti ya Mombasa Bw Abdulswamad Nassir anakabiliwa na kibarua kigumu cha kushughulikia suala la...

Kamket atangaza kushirikiana na Kenya Kwanza

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Tiaty William Kamket ametangaza kushirikiana na kambi ya Kenya Kwanza, inayoongozwa na Dkt William...

Wajackoya sasa amtema naibu wake

NA MARY WANGARI UHUSIANO wa kisiasa kati ya kinara wa Roots Party, George Wajackoya na naibu wake Justina Wamae, umekatika rasmi huku Bw...

Mung’aro awafyeka mawaziri wa Kingi

MAUREEN ONGALA NA SIAGO CECE GAVANA wa Kilifi, Bw Gideon Mung’aro, amewatimua mawaziri watano wa utawala wa mtangulizi wake, Bw Amason...

Boga ajiandaa kupinga Achani mahakamani

NA SIAGO CECE ALIYEKUWA mwaniaji ugavana Kwale kwa tikiti ya ODM, Prof Hamadi Boga (pichani), anajiandaa kupinga ushindi wa Bi Fatuma...

Ruto apata pigo kesi ikianza

LEONARD ONYANGO Na JOSEPH WANGUI RAIS Mteule William Ruto amepata pigo baada ya Mahakama ya Upeo kutupilia mbalimbali mengi ya maombi...

Sarai na Malala washindwa kuhimili mawimbi ya Azimio 001 na Kakamega

NA WAANDISHI WETU USHINDI wa Bw Abdulswamad Nassir kuwa gavana wa pili wa Mombasa, umezima nia ya Chama cha UDA kinachoongozwa na rais...