• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Luciano Spalletti achukua mikoba ya kudhibiti Azzurri

Na MASHIRIKA TIMU ya taifa ya Italia imepokeza aliyekuwa mkufunzi wa Napoli, Luciano Spalletti, mikoba ya ukocha baada ya Roberto Mancini...

Chelsea wang’oa kiungo Romeo Lavia kutoka Southampton kwa Sh9.6 bilioni

Na MASHIRIKA CHELSEA wamekamilisha uhamisho wa kiungo raia wa Ubelgiji, Romeo Lavia, kwa Sh9.6 bilioni kutoka Southampton. Nyota huyo...

Budapest: Mtembeaji Gathimba akosa Sh720,000 kwa kumaliza nambari tisa 

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Afrika kutembea kwa haraka kilomita 20 mwaka 2016, 2018 na 2022, Samuel Gathimba ameridhika na nafasi ya tisa...

Uswidi wakomoa wenyeji Australia na kujizolea nishani ya shaba katika Kombe la Dunia

Na MASHIRIKA WAREMBO wa Uswidi walijizolea nishani ya shaba na tuzo ya Sh376 milioni baada ya kupepeta wenyeji Australia 2-0 katika...

Man-City waangusha Sevilla na kuongeza taji la UEFA Super Cup kabatini mwao

Na MASHIRIKA MANCHESTER City waliongeza taji la Uefa Super Cup kwa makombe matatu ambayo walijizolea msimu wa 2022-23 baada ya kufunga...

Tuwei achaguliwa naibu rais wa Shirikisho la Riadha Duniani

Na GEOFFREY ANENE RAIS wa Shirikisho la Riadha Kenya (AK) Jackson Tuwei amechaguliwa kuwa mmoja wa manaibu rais wanne wa Shirikisho la...

Vihiga Queens watinga nusu fainali Dimba la CECAFA

NA TOTO AREGE BAO la mshambulizi Bertha Omitta kunako dakika ya 36 wakicheza dhidi ya AS Kigali ya Rwanda, lilitosha kuwapa Vihiga...

Neymar alitaka kasri la vyumba 25 kabla ya kuhamia klabu ya Saudia

NA MASHIRIKA NEYMAR alitaka kasri la vyumba 25, bwawa la kuogelea na chumba cha kujituliza kwa mvuke maalum, wafanyakazi na wanane wa...

Kenya Shujaa yaanza maandalizi ya kushiriki Kombe la Afrika

Na GEOFFREY ANENE SHIRIKISHO la Raga Kenya (KRU) limetaja kikosi cha Kenya Shujaa chenye wachezaji 36 kuanza maandalizi ya Kombe la...

Uingereza watinga fainali ya Kombe la Dunia baada ya kudengua wenyeji Australia

Na MASHIRIKA VIPUSA wa Uingereza walitinga fainali ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza baada ya kukomoa wenyeji Australia 3-1 jijini...

Omanyala tayari kutetemesha Budapest baada ya mazoezi Miramas

GEOFFREY ANENE na AYUMBA AYODI MSHIKILIZI wa rekodi ya Afrika mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala ametangaza yuko tayari kwa Riadha za...

Uhispania kusubiri mshindi wa mechi kati ya Uingereza na Australia

Na MASHIRIKA VIPUSA wa Uhispania walitinga fainali ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza katika historia baada ya kupokeza Uswidi kichapo...