Na MASHIRIKA TIMU ya taifa ya Italia imepokeza aliyekuwa mkufunzi wa Napoli, Luciano Spalletti, mikoba ya ukocha baada ya Roberto Mancini...
Na MASHIRIKA CHELSEA wamekamilisha uhamisho wa kiungo raia wa Ubelgiji, Romeo Lavia, kwa Sh9.6 bilioni kutoka Southampton. Nyota huyo...
Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Afrika kutembea kwa haraka kilomita 20 mwaka 2016, 2018 na 2022, Samuel Gathimba ameridhika na nafasi ya tisa...
Na MASHIRIKA WAREMBO wa Uswidi walijizolea nishani ya shaba na tuzo ya Sh376 milioni baada ya kupepeta wenyeji Australia 2-0 katika...
Na MASHIRIKA MANCHESTER City waliongeza taji la Uefa Super Cup kwa makombe matatu ambayo walijizolea msimu wa 2022-23 baada ya kufunga...
Na GEOFFREY ANENE RAIS wa Shirikisho la Riadha Kenya (AK) Jackson Tuwei amechaguliwa kuwa mmoja wa manaibu rais wanne wa Shirikisho la...
NA TOTO AREGE BAO la mshambulizi Bertha Omitta kunako dakika ya 36 wakicheza dhidi ya AS Kigali ya Rwanda, lilitosha kuwapa Vihiga...
NA MASHIRIKA NEYMAR alitaka kasri la vyumba 25, bwawa la kuogelea na chumba cha kujituliza kwa mvuke maalum, wafanyakazi na wanane wa...
Na GEOFFREY ANENE SHIRIKISHO la Raga Kenya (KRU) limetaja kikosi cha Kenya Shujaa chenye wachezaji 36 kuanza maandalizi ya Kombe la...
Na MASHIRIKA VIPUSA wa Uingereza walitinga fainali ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza baada ya kukomoa wenyeji Australia 3-1 jijini...
GEOFFREY ANENE na AYUMBA AYODI MSHIKILIZI wa rekodi ya Afrika mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala ametangaza yuko tayari kwa Riadha za...
Na MASHIRIKA VIPUSA wa Uhispania walitinga fainali ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza katika historia baada ya kupokeza Uswidi kichapo...