• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Tuwei amezea mate kiti cha naibu rais wa Shirkisho la Riadha Duniani

Na GEOFFREY ANENE MWENYEKITI wa Shirikisho la Riadha Kenya (AK) Jackson Tuwei alitangaza mnamo Juni 15 kwamba anajitosa kwa...

Faith Kipyegon ataka Serikali iimarishe viwanja kote nchini

AYUMBA AYODI Na JOHN ASHIHUNDU BINGWA wa mataji ya Olimpiki na Dunia katika mbio za mita 1,500 Faith Cheng'etich Kipyegon pamoja na...

Kiungo wa Harambee Starlets atemwa na Simba

NA TOTO AREGE KLABU ya Simba Queens ya Ligi Kuu ya Wanawake ya Serengeti Lite (SLWPL) nchini Tanzania, imevunja mkataba na mshambulizi...

Serikali yamtuza Faith Kipyegon Sh5 milioni na nyumba ya Sh6 milioni

NA MWANDISHI WETU MWANARIADHA Faith Kipyegon amekaribishwa kwa njia ya kipekee baada ya kuvunja Rekodi ya Dunia katika mashindano ya mbio...

Seahorses Aquatic Center yatawala mashindano ya kuogelea ya Kiambu

Na GEOFFREY ANENE MELISSA Alala na Dayo Mbugua waliongoza timu ya Seashorses Aquatic Center kutawala mashindano ya kuogelea ya Shirikisho...

Joseph Yobo aamini Kenya ina wanasoka wenye uwezo wa kung’ara Ulaya

Na CECIL ODONGO NYOTA wa zamani wa Everton Joseph Yobo anaamini kuwa Kenya ina wachezaji ambao talanta zao zikikuzwa vyema, watakuwa na...

Manchester City watia kibindoni tuzo ya Sh12.7 bilioni

Na MASHIRIKA SUBIRA ya muda mrefu ya Manchester City kutawazwa wafalme wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) kwa mara ya kwanza katika historia...

Uingereza kuwakilishwa na vikosi vinane kwenye soka ya bara Ulaya 2023-24

Na MASHIRIKA UINGEREZA itakuwa na wawakilishi wanane kwenye vipute vitatu vya soka ya bara Ulaya msimu ujao wa 2023-24. Newcastle...

Ruto, Raila wapongeza Faith Kipyegon kwa kuweka rekodi mpya ya dunia

Na GEOFFREY ANENE NYOTA wa mbio za mita 1,500 Faith Chepng’etich Kipyegon amemininiwa sifa tele baada ya kufuta rekodi ya dunia ya...

Fainali ya Klabu Bingwa Ulaya: Guardiola asipobeba taji atasaga meno

Na MASHIRIKA MANCHESTER City watashuka leo Jumamosi ugani Ataturk Olympic jijini Istanbul, Uturuki, kuvaana na Inter Milan ya Italia...

Dereva Takamoto Katsuta alenga kumakinika kwenye mbio za Safari Rally

Na GEOFFREY ANENE MJAPANI Takamoto Katsuta anatumai kuandikisha matokeo mazuri kwenye raundi ya saba ya Mbio za Magari Duniani (WRC)...

Wanakriketi wa Kenya waanza Kombe la Afrika kwa kulima Rwanda

Na VICTOR OTIENO WENYEJI Kenya walianza makala ya kwanza ya Kombe la Afrika la kriketi ya Continent Twenty20 International (T20I) kwa...