• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Vyama 48 vya kisiasa kugawana Sh2 bilioni

NA DAVID MWERE JUMLA ya vyama 48 vya kisiasa vimetengewa kitita cha Sh2 bilioni katika mwaka ujao wa kifedha kulingana na ripoti ya...

Waislamu watakiwa kusubiri tangazo la Kadhi Mkuu kuhusu Ramadhan

NA CECIL ODONGO KADHI Mkuu Abdulhalim Hussein Jumapili, Machi 10, 2024 alitoa wito kwa Waislamu kusubiri tangazo lake pekee kabla ya...

Wamalwa akataaa marupurupu ya Nadco

NA MOES NYAMORI KIONGOZI wa DAP Kenya, Eugene Wamalwa amekataa kupokea marupurupu ya kushiriki vikao vya Kamati ya Kitaifa ya Maridhiano...

Ujenzi wa bwawa na visima kupunguza mizozo

NA WINNIE ATIENO SERIKALI imetenga kima cha Sh48 milioni zinazolenga kutumika kujenga vyanzo vya maji (water pan) na visima katika...

Rais Ruto na Waziri Blinken wafanya mazungumzo kuhusu Haiti

NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Masuala ya Kigeni wa Amerika Antony Blinken Jumamosi, Machi 9, 2024 alifanya mazungumzo na Rais William...

Mwaura alaani mauaji ya mwanablogu 

NA ALEX NJERU SERIKALI imelaani mauaji ya mwanablogu wa Tharaka Nithi Peris Mugera ambaye mwili wake ulipatikana umetupwa katika kaunti...

Kanu yaenda kortini ikitaka irejeshewe KICC

NA SAM KIPLAGAT CHAMA cha Kanu kimeanza mchakato wa kutwaa umiliki wa Jumba la Mikutano la KICC zaidi ya miongo miwili baada ya kufurushwa...

Wachukuzi wahofia mabogi mapya ya treni yanawalenga

NA ANTHONY KITIMO WASHIKADAU katika sekta ya usafiri wamehofia serikali inarudisha mfumo walioupinga wa kutumia reli ya kisasa (SGR) na...

ODM itasalia imara hata bila Raila – Oparanya

NA SHABAN MAKOKHA VIONGOZI wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM) wamesema chama hicho bado kitabaki imara hata kama kinara wao...

Tanzia: Kachero John Kamau kukumbukwa kwa kumkamata daktari feki

NA MWANGI MUIRURI KACHERO John Njoroge Kamau aliyeaga dunia Ijumaa atakumbukwa kwa kuongoza kikosi cha polisi kilichovamia kliniki ya...

Chopa iliyombeba Murkomen ina historia ya hitilafu ikipaa

NA WANDERI KAMAU IMEBAINIKA kuwa ndege iliyoanguka mnamo Jumamosi ilipokuwa ikipaa ikiwa imembeba Waziri wa Uchukuzi Kipchumba Murkomen na...

Walimu wasio na kazi wasubiri TSC itangaze nafasi 20,000

NA WANDERI KAMAU TUME ya Kuajiri Walimu (TSC) sasa itawaajiri walimu wapya 20,000 baada ya kutengewa Sh369.9 bilioni na serikali katika...