• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Mahakama yakataa kurefusha agizo la kuruhusu serikali kukata ushuru wa nyumba

NA SAM KIPLAGAT RAIS William Ruto amepata pigo baada ya Mahakama ya Rufaa kukataa kurefusha agizo la kuruhusu serikali kuendelea kukata...

Jamii za wafugaji Kenya, Uganda zashauriana namna ya kugawana nyasi

OSCAR KAKAI Na LABAAN SHABAAN VIONGOZI wa jamii ya Wapokot walioenda kuomba waruhusiwe kulisha mifugo yao nchini Uganda...

Serikali yatangaza samaki wa Ziwa Nakuru wana sumu kali

NA MWANGI MUIRURI SERIKALI imetoa tahadhari kwamba samaki wa kutoka katika Ziwa Nakuru wana sumu aina ya Arsenic kwa kiwango cha...

Jinsi vishoroba vya mji wa Lamu vinavyomtambua mgeni na mwenyeji

NA KALUME KAZUNGU MJI wa Kale wa Lamu ni wa aina yake kutokana na kukithiri kwa vishoroba na vichochoro vingi kwenye mji huo wa...

Kuna mengi hamjatueleza, wahubiri waambia Ruto na Koome

NA EVANS JAOLA VIONGOZI wa kidini eneo la North Rift wanasema ni machache mno yale Rais William Ruto na Jaji Mkuu Martha Koome waliambia...

Rita alinyongwa kabla kukatwakatwa, mpasuaji wa serikali asema

NA MARY WAMBUI BI Rita Waeni alinyongwa kisha akakatwakatwa kabla ya vipande vya mwili wake kutupwa, mpasuaji wa serikali Johansen Oduor...

Vita vipya vyazuka kati ya Mwangaza na Naibu wake

NA DAVID MUCHUI MGOGORO wa kisiasa katika Kaunti ya Meru umechipuka tena huku tofauti mpya zikidhihirika kati ya Gavana Kawira Mwangaza...

Ukusanyaji wa mapato Nairobi wasalia ‘pasua kichwa’

NA WINNIE ONYANDO SUALA la kutambua kwa kina namna wavuti maalum wa kukusanya mapato Kaunti ya Nairobi inavyofanya kazi, linaendelea...

Wazazi wa Isongo washtakiwa kwa kuvuruga amani shuleni

NA SHABAN MAKOKHA WAZAZI wanne wa wanafunzi wa Shule ya Upili St Gabriel Isongo, wamefikishwa katika mahakama ya Mumias kufuatia...

Dennis Onsarigo ajiuzulu kazi Nyamira akilalamikia ubovu wa vyoo

NA WYCLIFFE NYABERI MWANAHABARI Dennis Onsarigo aliyejizolea umaarufu kwa kuangazia maswala ya uhalifu, amejiuzulu kutoka kwa wadhifa...

Saudi Arabia kufungua duka la pombe kwa mabalozi

NA MASHIRIKA RIYADH, SAUDI ARABIA SAUDI Arabia inajiandaa kufungua duka la pombe la kwanza jijini Riyadh kuhudumia mabalozi pekee...

Zack Kinuthia ahisi Lizzie Wanyoike alihitaji kuzikwa kiserikali

NA MWANGI MUIRURI ALIYEKUWA Waziri Msaidizi (CAS) katika Wizara ya Elimu Zack Kinuthia mnamo Jumanne alilalamika kwamba serikali...