• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Brighton yadidimiza matumaini ya Arsenal kumaliza msimu wa EPL ndani ya 4-bora jedwalini

Na MASHIRIKA ARSENAL walididimiza matumaini yao ya kukamilisha kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu ndani ya orodha ya...

Chelsea waaibisha Southampton kwa kichapo cha 6-0 katika EPL ugani St Mary’s

Na MASHIRIKA CHELSEA waliweka kando maruerue ya kuchapwa 3-1 na Real Madrid katika mkondo wa kwanza wa robo-fainali ya Klabu Bingwa...

Real Madrid wapepeta Getafe na kufungua pengo la alama 12 kileleni mwa jedwali la La Liga

Na MASHIRIKA REAL Madrid walifungua mwanya wa alama 12 kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) mnamo Jumamosi usiku...

Neymar na Mbappe waongoza PSG kusagasaga Clermont ligini

Na MASHIRIKA NEYMAR na Kylian Mbappe walifunga mabao matatu kila mmoja katika ushindi wa 6-1 uliosajiliwa na Paris Saint-Germain (PSG)...

Malindi Progressive yatamba ikifinyanga vipaji na kukuza maadili mema

Na PATRICK KILAVUKA Malindi Progressive inapatikana Alaskan, Kaunti ndogo ya Kilifi. Imekumbatiwa na jamii, japo nguzo ya uhimili...

Lewandowski abeba Bayern Munich dhidi ya Augsburg katika mechi ya Bundesliga

Na MASHIRIKA BAYERN Munich walihitaji penalti ya dakika za mwisho kutoka kwa Robert Lewandowski ili kuzamisha Augsburg 1-0 katika Ligi Kuu...

Leicester na PSV waumiza nyasi bure katika mkondo wa kwanza wa Europa Conference League

Na MASHIRIKA PSV Eindhoven kutoka Uholanzi walilazimishia Leicester City sare tasa katika mkondo wa kwanza wa robo-fainali ya Europa...

PSG kumpa Mbappe ofa mpya ya Sh23.4 bilioni ili asihamie Real Madrid msimu huu

Na MASHIRIKA PARIS Saint-Germain (PSG) wamefichua mpango wa kumpokeza mshambuliaji Kylian Mbappe ofa mpya ya Sh23.4 bilioni ili atie...

Wolves wasema anayetaka kiungo wao Ruben Neves sharti aweke mezani Sh15.6 bilioni

Na MASHIRIKA KOCHA wa Wolverhampton Wanderers, Bruno Lage, ametaka klabu za Barcelona, Liverpool na Manchester United zinazowania huduma...

Bukayo Saka ndiye mwanasoka bora barani Ulaya miongoni mwa chipukizi 100 wasiozidi umri wa miaka 21

Na MASHIRIKA BUKAYO Saka wa Arsenal ndiye mwanasoka bora barani Ulaya miongoni mwa wachezaji wenye umri usiozidi miaka 21. Hayo ni...

Gonzalo Higuain kustaafu soka mwishoni mwa msimu huu wa 2021-22 akivalia jezi za Inter Miami nchini Amerika

Na MASHIRIKA NYOTA wa zamani wa Chelsea, Gonzalo Higuain, 34, atastaafu soka mwishoni mwa msimu huu wa 2021-22. Makali ya sogora huyo...

Man-City kuzindua mnara wa Sergio Aguero ugani Etihad mnamo Mei 13, 2022

NA MASHIRIKA MANCHESTER City watazindua mnara wa aliyekuwa mwanasoka wao Sergio Aguero mnamo Mei 13, 2022, miaka 10 tangu nyota huyo...