• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Je, Ufaransa itapenya ngome ya Morocco?

NA JOHN ASHIHUNDU MECHI ya nusu-fainali baina ya mabingwa wa Kombe la Dunia Ufaransa na Morocco inazidi kuvutia hisia kabla ya kung'oa...

Namwamba atangaza matumizi ya pufya kuwa tishio kwa Kenya

Na GEOFFREY ANENE MAMBO yanatarajiwa kuwa magumu zaidi kwa wanamichezo wa Kenya wanaotumia dawa za kusisimua misuli kutafuta...

Tennis Kenya kuadhimisha miaka 100 kwa kuombea Okutoyi mafanikio mema na kupanda miti Kasarani

Na GEOFFREY ANENE SHIRIKISHO la Tenisi Kenya (Tennis Kenya) litapanda miti 100 katika sehemu ya shamba la Kasarani ambalo serikali...

Moraa ni miongoni mwa 7 waliopokea tuzo ya heshima kutoka kwa Rais Ruto

Na AYUMBA AYODI BINGWA wa michezo ya Jumuiya ya Madola mbio za mita 800, Mary Moraa yuko katika orodha ya wanamichezo saba waliopokea...

Crescent United: Timu wembe inayoinua soka mashinani

NA PATRICK KILAVUKA CRESCENT United inapatikana Mlolongo, kaunti ndogo ya Mavoko, Kaunti ya Machakos. Inayo matumaini tele kunyakua...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Ufaransa wabandua Uingereza na kufuzu kwa nusu-fainali itakayowakutanisha na Morocco

Na MASHIRIKA UINGEREZA waliaga Kombe la Dunia mwaka huu katika hatua ya robo-fainali baada ya Ufaransa kuwapepeta 2-1 ugani Al Bayt mnamo...

Mashabiki wa soka jijini Kisumu wapata utamu wa Kombe la Dunia

NA AREGE RUTH MASHABIKI wa soka jijini Kisumu, walipata burudani aali siku ya Jumamosi walipotizama mechi za robo-fainali za Kombe la...

Qatar kupata faida ya Sh1.1 trilioni kwa uandalizi wa Kombe la Dunia

MASHIRIKA Na JOHN ASHIHUNDU TAIFA la Qatar linatarajia kupata faida ya Sh1.1 trilioni mara tu mashindano ya Kombe la Dunia yatamalizika...

‘Morocco ina uwezo wa kutwaa Kombe la Dunia’

NA JOHN ASHIHUNDU BAADA ya kuandikisha historia kama nchi ya kwanza ya Afrika kutinga nusu-fainali ya Kombe la Dunia, mashabiki wengi wa...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Kocha Gareth Southgate kutathmini mustakabali wake baada ya masogora wake wa Uingereza kudenguliwa kwenye robo-fainali

Na MASHIRIKA KOCHA wa Uingereza, Gareth Southgate, amesema atashauriana zaidi na Shirikisho la Soka la Uingereza (FA) kabla ya kutathmini...

Familia ya shabiki Isaac Juma yapewa makao mapya Mumias

NA JOHN ASHIHUNDU GAVANA wa Kakamega, Fernandes Barasa ameifariji familia ya marehemu shabiki Isaac Juma na makao mapya katika eneo la...

KOMBE LA DUNIA: Morocco yaandikisha historia kwa kutinga nusu-fainali

NA CHARLES WASONGA BAO la Youssef En-Nesyri alilopachika kimiani kwa kichwa katika kipindi cha kwanza liliiwezesha Morocco kuandisha...