• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:50 AM

Chelsea sasa macho ni kwa FA na UEFA

NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza KOCHA Thomas Tuchel ametaka masogora wake wa Chelsea kuwa kikosi kitakachoogopwa na kila mshindani...

Lukaku akiri kutofurahia maisha Chelsea, adokeza uwezekano wa kurejea Inter Milan

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI Romelu Lukaku aliyerejea Chelsea kwa kima cha Sh15.2 bilioni mnamo Agosti 2021 amedokeza uwezekano wa kurejea...

Nimekuwa nikiwania fursa ya kufungia Chelsea bao ugani Stamford Bridge tangu nikiwa na umri wa miaka 11 – Lukaku

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI Romelu Lukaku amesema kufungia Chelsea bao uwanjani Stamford Bridge ni jambo alilokuwa akiotea tangu akiwa...

Lukaku afunga bao lake la 67 katika mechi ya 100 ndani ya jezi ya Ubelgiji

Na MASHIRIKA ROMELU Lukaku, 28, alisherehekea mechi yake ya 100 ndani ya jezi ya timu ya taifa ya Ubelgiji kwa kufunga bao lake la 67...

Chelsea wabana Liverpool licha ya kucheza kwa dakika 45 wakiwa na wanasoka 10 uwanjani Anfield

Na MASHIRIKA CHELSEA walihangaisha Liverpool na kuwanyima nafasi nyingi za wazi katika kipindi cha pili kwenye mchuano wa Ligi Kuu ya...

Wakala wa Lukaku atishiwa maisha kwa kufanikisha uhamisho wa nyota huyo hadi Chelsea

Na MASHIRIKA FEDERICO Pastorello ambaye ni wakala wa fowadi Romelu Lukaku, amekiri kutishiwa maisha pamoja na familia yake wakati...

Rekodi nyingine katika soka ya Uingereza baada ya Chelsea kumsajili Lukaku kwa Sh15.2 bilioni

Na MASHIRIKA CHELSEA wamemsajili upya fowadi Romelu Lukaku, 28, kutoka Inter Milan ya Italia kwa Sh15.2 bilioni. Nyota huyo raia wa...

Lukaku asema haondoki kambini mwa Inter Milan

Na MASHIRIKA FOWADI Romelu Lukaku amesema kwamba atasalia nchini Italia kusakatia Inter Milan wala hana mpango wowote wa kutafuta...

Chelsea tayari kumsajili Romelu Lukaku kutoka Inter Milan

Na MASHIRIKA CHELSEA wako tayari kumsajili upya mshambuliaji matata raia wa Ubelgiji, Romelu Lukaku huku kocha Thomas Tuchel akifichua...

Ubelgiji kutegemea masogora tisa wa EPL kwenye fainali za Euro 2021

Na MASHIRIKA JUMLA ya wanasoka tisa wanaotandaza Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) wamejumuishwa katika kikosi cha wachezaji 26...

Lukaku alivyofufua makali yake nchini Italia na kusaidia Inter kutwaa taji la kwanza la Serie A baada ya miaka 11

Na MASHIRIKA INTER Milan walijizolea taji la Ligi Kuu ya Italia (Serie A) msimu huu kwa mara ya kwanza tangu 2009-10. Miongoni mwa...

Inter Milan washinda taji la Serie A kwa mara ya kwanza tangu 2009-10

Na MASHIRIKA INTER Milan walijizolea taji la Ligi Kuu ya Italia (Serie A) kwa mara ya kwanza baada ya kipindi cha miaka 11 mnamo...