Tag: waliobobea
- by T L
- November 13th, 2022
WALIOBOBEA: Poghisio alivyoleta mageuzi katika sekta ya ICT Kenya
KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK SAMUEL Losuron Poghisio alijiunga na Baraza la Mawaziri mnamo 2008, katika muhula wa pili wa Rais Mwai...
- by T L
- October 9th, 2022
WALIOBOBEA: Karume: Mhimili, rafiki wa dhati wa Mwai Kibaki
KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK NJENGA Karume na Mwai Kibaki walikuwa marafiki wa dhati. Lakini jinsi Karume aliyeacha masomo akiwa darasa...
- by T L
- August 28th, 2022
WALIOBOBEA: Nyota ya Kituyi ilianza kung’aa akiwa chuoni
KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK JINSI kijana Daudi alivyomuangusha Goliath kwa vipande vitano vya mawe huku waliotazama wakikosa kuamini,...
- by T L
- March 27th, 2022
WALIOBOBEA: John Koech: Waziri jasiri aliyekuwa na msimamo thabiti
KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK KATIKA eneobunge la Chepalungu, ambako John Kipsang Koech alikuwa mbunge kwa muda mrefu zaidi kati ya 1979...
- by T L
- March 13th, 2022
WALIOBOBEA: Muthaura alichapa kazi akaaminiwa na Kibaki
KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK MAJINA ya wanaume na wanawake waliofanikisha utawala wa miaka kumi wa Rais Mwai Kibaki yanapotajwa, jina...
- by T L
- January 30th, 2022
WALIOBOBEA: Beth Mugo: Aliacha alama katika sekta za Elimu, Afya
KWA HISANI YA KYB KABLA ya kujiunga na siasa ambako aliacha alama isiyoweza kufutika katika haki za binadamu na katika sekta za elimu na...
- by T L
- January 16th, 2022
WALIOBOBEA: Kosgey; Waziri msiri na mwaminifu kwa Kibaki
KWA HISANI YA KYB MOJAWAPO ya sifa za Henry Kiprono Kosgey ni uaminifu na aliudumisha vilivyo. Na hii ni sifa ambayo Mwai Kibaki...
- by T L
- January 2nd, 2022
Gumo: Alikuwa akikohoa wapinzani wanachemua
KWA HISANI YA KYB KWA watu wengi, Fredrick Fidelis Gumo, au Fred Gumo anavyofahamika zaidi, ni upanga unaokata kuwili. Aina ya mtu...
- by T L
- December 19th, 2021
Ngilu: Mwanasiasa wa kike mwenye ujasiri wa aina yake
KWA HISANI YA KYB WAKATI Charity Kaluki Ngilu alipogombea urais 1997, yeye na mshindi wa nobeli Wangari Maathai waliandikisha historia...