Upekee wa kabati la Mswahili
NA KALUME KAZUNGU MSWAHILI asili yake ni Pwani. Huyu ni mja aliyefungamana na tamaduni za kipwani ambazo sanasana ni Uislamu na tamaduni za Kiarabu na Kiajemi, ambaye pia lugha yake mama ni Kiswahili. Aghalabu Mswahili hutumia lugha ya Kiswahili kama kielezeo cha utamaduni wake. Kimsingi, Mswahili pia anaweza kuelezwa kama mtu mahuruti-yaani ni mtu chotara […]