• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 5:10 PM

Kilio cha mwanamke mgonjwa aliyekwama Saudi Arabia

NA OSCAR KAKAI MWISHONI mwa mwaka wa 2021, Emily Cherop Kaptuwai mwenye umri wa miaka 27, alipanga virago vyake na kutoka kwenye kijiji...

Upungufu wa vifaranga nchini watishia wakulima

NA SAMMY WAWERU HUKU Sekta ya Kilimo ikikadiriwa kuchangia asilimia 25 ya ukuaji wa uchumi (GDP), ufugaji kuku unawakilisha asilimia 30...

Vitunguu, dhahabu ambayo bei yake sasa haikamatiki

NA SAMMY WAWERU  KITUNGUU ni kati ya viungo vya mapishi vinavyotumika kwa wingi katika kila boma nchini.  Madhumuni yake yakiwa ni...

Guardian Angel: Muziki hauna utajiri wa haraka 

NA SINDA MATIKO MSANII wa injili Guardian Angel kadai kuwa, muziki sio uwekezaji sahihi kwa mtu anayepania kutajirika haraka. Angel...

Mhudumu bodaboda anayeendesha pikipiki kwa madoido kuvutia wateja 

NA KALUME KAZUNGU AMANI Jeremiah Yaa ni mhudumu wa boda boda ambaye amefanya kazi hiyo kwa miaka saba sasa. Yaa,29, ambaye ni baba wa...

Maombi ya saa moja yaliyomfanya Omosh akaacha pombe na kuokoka 

NA MWANGI MUIRURI MUIGIZAJI wa zamani Joseph Kinuthia almaarufu Omosh, ameelezea jinsi Mungu alivyomwongelesha akimuahidi kumsaidia...

Peter Kenneth ‘aoga’ na kurejea sokoni

NA MWANGI MUIRURI  ALIYEKUWA mwaniaji wa urais 2013 Bw Peter Kenneth amevunja kimya chake, zaidi ya mwaka mmoja na nusu tangu aonekane...

Mayonde adai kushindwa kuingiza pesa kimuziki ndio sababu ya ukimya wake

NA SINDA MATIKO HIVI unamkumbuka Mayonde? Yule mrembo aliyetuangishia fataki nzito 'Nairobi' yapata miaka mitatu iliyopita. Baada ya...

Huzuni chifu akijitia kitanzi barabarani

NA MWANGI MUIRURI HALI ya majonzi imetanda katika eneobunge la Gatundu Kaskazini baada ya chifu wa eneo la Gituamba kujitia kitanzia...

Athari za vita vya Israel-Iran kwa Kenya

LUKE ANAMI na CHARLES WASONGA HATUA ya Iran kuishambulia Israel mnamo Jumamosi, Aprili 13, 2024 inaweza kusababisha changamoto ya...

Fahamu mwalimu anayetumia TikTok kunoa wanafunzi wake  

NA WANDERI KAMAU MFUMO mpya wa Elimu ya Umilisi na Utendaji (CBC) unasisitiza kuhusu umuhimu wa wanafunzi kuwa na uelewa wa ujuzi...

Kilio cha askari jela aliyefutwa kazi bila shtaka, kesi wala barua 

NA MWANGI MUIRURI AFISA wa Idara ya Huduma za Magereza kutoka Kaunti ya Homa Bay analilia haki baada ya kufutwa kazi kwa kile anachodai...