• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 10:50 AM

Mwanawe Museveni atangaza azma yake kuwa rais wa Uganda

NA AFP KAMPALA, Uganda MWANAWE Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kwa mara ya kwanza ametangaza azma yake ya kuongoza taifa...

Uhuru ashiriki juhudi za kuleta amani Ethiopia

NA THE EAST AFRICAN RAIS Mstaafu wa Kenya, Uhuru Kenyatta, ameanza shughuli ya kupatanisha serikali ya Ethiopia na kundi la waasi la...

Biden asifu uteuzi wa Rishi Sunak kuwa Waziri Mkuu

LONDON, UINGEREZA NA MASHIRIKA RAIS wa Amerika, Joe Biden amesifu uteuzi wa Rishi Sunak, akisema ni hatua ya kimsingi inayolenga kuleta...

Hofu walioambukizwa Ebola UG wakifika 84

NA DAILY MONITOR KAMPALA, UGANDA VISA vya maambukizi ya maradhi ya Ebola vimeongezeka na kufikia 14 jijini Kampala, Uganda, baada ya...

Urusi sasa yalenga vituo vya umeme nchini Ukraine

NA MASHIRIKA KVYIV, UKRAINE URUSI imeanzisha “mashambulio makali” ikilenga vituo vya kuzalishia kawi nchini Ukraine, amesema rais wa...

Muhoozi apigwa marufuku kutoa maoni kuhusu masuala ya serikali kwenye Twitter

NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA MWANAWE RAIS wa Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amepigwa marufuku kutoa maoni kuhusu masuala ya...

Ebola: Uganda sasa yaweka ‘lockdown’

NA DAILY MONITOR KAMPALA, UGANDA UGANDA imefunga na kusimamisha shughuli zote zinazohusu mwingiliano wa watu (lockdown) katika wilaya...

10 wafariki, 5 walazwa baada mkasa wa moto

NA KITSEPILE NYATHI BULAWAYO, ZIMBABWE WATU kumi waliaga dunia kwa kuteketea katika mkasa wa moto huku wengine watano wakitibiwa...

Urusi yaua raia wengi wa Ukraine kwa kisasi

NA MASHIRIKA ANKARA, UTURUKI ZAIDI ya watu wanane walifariki Jumatatu katika jiji kuu la Ukraine, Kyiv, baada ya Urusi kurusha...

Urusi yaimarisha ulinzi katika daraja la Crimea

NA MASHIRIKA MOSCOW, URUSI URUSI imeimarisha usalama katika daraja lake la pekee linaloiunganisha na eneo la Crimea, baada ya mlipuko...

Urusi yaua watu 14 mjini Zaporizhzhia

Na AFP ZAPORIZHZHIA, UKRAINE WATU 14 wameuawa katika shambulio la makombora lililotekelezwa na Urusi katika mji wa Zaporizhzhia...

Bobi Wine na Besigye washutumu Jenerali Muhoozi Kainerugaba

NA CHARLES WASONGA VIONGOZI wa upinzani nchini Uganda wamemsuta mwanawe rais wa nchi hiyo, Yoweri Museveni, Muhoozi Kainerugaba,...