• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 6:50 AM

TAHARIRI: Sekta ya elimu yahitaji mageuzi

NA MHARIRI SHULE zinafunga wiki hii ili kukamilisha muhula wa kwanza katika kalenda mpya ya elimu nchini. Kalenda ya elimu ilivurugwa...

Mzozo wa DPP na DCI waanikwa na kesi ya mauaji ya Cohen

Na BENSON MATHEKA KESI ya mauaji ya bwanyenye kutoka Uholanzi, Tob Cohen imeanika tofauti zinazoendelea kupanuka kati ya Mkurugenzi wa...

Waislamu waenda Saudia kwa Umrah

Na CECIL ODONGO BARAZA Kuu la Waislamu Nchini (SUPKEM) limeshukuru serikali ya Saudi Arabia kwa kufungua baadhi ya maeneo matakatifu ya...

Serikali inavyokiuka Katiba kuacha raia wafe njaa

Na LEONARD ONYANGO INAONEKANA haki zilizoorodheshwa kwenye Katiba zinalenga kuwafaa tu mabwanyenye na kubagua maskini. Sura ya Pili...

Korti yaamuru raia wa Tanzania anayeishi uingereza akamatwe arudishwe Kenya kushtakiwa kwa ufisadi wa Sh706Milioni

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Jumatano iliwaagiza maafisa wa polisi nchini wamkamate mfanyabiashara raia wa Tanzania anayeishi nchini...

Tukipunguza bei ya mafuta tutalemewa kufadhili shughuli za serikali – Wizara ya Fedha

Na CHARLES WASONGA WAKENYA wataendelea kubebeshwa mzigo mzito wa bei za juu za bidhaa za mafuta baada ya serikali kukataa kupunguza...

Wabunge wakiri IEBC imepungukiwa na fedha za uchaguzi

Na CHARLES WASONGA SIKU chache baada ya Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati kulalamikia kupungukiwa na...

Hatimaye Bomet yauza majanichai Iran

Na VITALIS KIMUTAI GAVANA wa Bomet Hillary Barchok hatimaye jana aliongoza maafisa wa Kaunti hiyo kuuza tani 84 za majanichai moja kwa...

WABUNGE waisuta TSC kwa kubebesha walimu mzigo wa mafunzo ya ziada

Na CHARLES WASONGA WABUNGE Jumanne jioni walipinga vikali mpango wa Tume ya Huduma za Walimu (TSC) ya kuwataka walimu kulipa Sh6,000...

Uteuzi wa Chiloba ni njama ya kuboronga uchaguzi 2022 – Akombe

Na SAMMY WAWERU ALIYEKUWA kamishna katika Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Dkt Roselyn Akombe  amedai uteuzi wa aliyekuwa afisa...

Azerbaijan yaitaka Armenia kukomesha kampuni zinazochafua Mto Okhchuchay

[caption id="attachment_86412" align="alignnone" width="1074"] Mtafiti akichukua sampuli ya maji katika Mto Okhchuchay ambao rangi yake...

Yaibuka Mfanyabiashara wa Sudan kusini raia wa Kenya alitembelewa na wanaume wawili usiku aliouawa

Na RICHARD MUNGUTI RAFIKIYE mfanyabiashara aliyeuawa kinyama katika eneo la Kilimani Nairobi alitembelewa na wanaume wawili usiku...