• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 2:10 PM

Pigo kwa Asha, Zamzam akitwaa tikiti ya ODM

NA WINNIE ATIENO MWAKILISHI wa wanawake wa kaunti ya Mombasa Bi Asha Hussein amepata pigo baada ya kubanduliwa kwenye mchujo wa chama...

Mbogo asita kumuunga mkono Sonko Mombasa

NA WINNIE ATIENO ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Mike Sonko huenda akapata pigo baada ya Mbunge wa Kisauni Ali Mbogo kusema hakutia saini...

Uhuru akwepa kumsalimia Dkt Ruto kwa mkono bungeni

NA CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto kwa mara ya kwanza tangu Desemba 12, 2021 walionekana pamoja...

Kundi lapendekeza Ruto ateue Waiguru kuwa naibu wake

NA JOSEPH OPENDA KUNDI moja la vijana wanaoegemea muungano wa Kenya Kwanza linapendekeza Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru ateuliwe kuwa...

Raila aanza mikutano na Wakenya Marekani

NA WINNIE ONYANDO KINARA wa ODM, Raila Odinga jana Jumapili alianza rasmi mkutano wake na Wakenya wanaoishi Marekani baada ya kuwasili...

Alfred Keter kuhama UDA, kuwa mgombea huru Nandi Hills

NA FRED KIBOR MBUNGE wa Nandi Hills, Alfred Keter amefichua kwamba atatetea kiti chake kama mgombea huru baada ya Kamati ya kutatua...

Ruto ampokonya Keter nyama iliyokuwa mdomoni!

NA LEONARD ONYANGO WENGI walitabiri kuwa mbunge wa Nandi Hills Alfred Kiptoo Keter angevuta mkia katika kura za mchujo wa chama cha...

Jalang’o ashinda tiketi ya ODM kuwania kiti cha ubunge Lang’ata

Na CHARLES WASONGA ALIYEKUWA mtangazaji wa redio Jalang’o Phelix Odiwuor sasa ndiye atapeperusha bendera ya ODM katika...

Mchujo Nandi Hills: UDA yafutilia mbali ushindi wa Alfred Keter

NA CHARLES WASONGA CHAMA cha United Democratic Alliance (UDA) chake Naibu Rais William Ruto, kimefutulia mbali ushindi wa mbunge wa...

Timu ya Ruto yaahirisha kampeni Kenya ikiomboleza Kibaki

NA CHARLES WASONGA MUUNGANO wa Kenya Kwanza umeahirisha kampeni zake zote na shughuli nyingine zilizoratibiwa kutoa nafasi kwa...

Wanyonyi anyimwa tikiti kuwania ugavana Nairobi

NA WINNIE ONYANDO MBUNGE wa Weslands, Tim Wanyonyi amepangwa na muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya baada ya azma yake ya kuwania kiti...

Sonko kuwania ugavana Mombasa kupitia Wiper

NA JUMA NAMLOLA SIASA za Ugavana Mombasa zinatarajiwa kupamba moto, baada ya chama cha Wiper kumkabidhi aliyekuwa gavana wa Nairobi,...