• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 6:50 AM

Kukosa meneja sababu yangu kuanguka jukwaani – Stivo Simple Boy

NA FRIDAH OKACHI RAPA Stephen Otieno almaarufu Stivo Simple Boy, amesema kuondoka kwa meneja wake ndio sababu ya yeye kuanguka wakati...

Baa za ngome ya Gachagua zapata idhini ya mahakama kuhudumu

NA MWANGI MUIRURI MUUNGANO wa wamiliki wa baa katika eneobunge la Mathira atokako Naibu Rais Rigathi Gachagua, umepata afueni mahakama...

Khadija Bakari: Mshonaji vikapu na mikeka anayetia wageni hamu ya kubakia Lamu

NA KALUME KAZUNGU BI Khadija Bakari ni mama aliyejizolea sifa kochokocho ndani na nje ya kisiwa cha Matondoni, Kaunti ya Lamu kutokana na...

Jinsi mti aina ya Mpeketo ulivyomfanya Jomo Kenyatta kupenda Lamu

NA KALUME KAZUNGU MAPENZI aliyokuwa nayo mwanzilishi wa taifa hili, hayati Mzee Jomo Kenyatta kwa Lamu yalimsukuma kiongozi huyo wa taifa...

Udereva si uhuni, asema mwanamke dereva wa matatu

NA WYCLIFFE NYABERI WANAWAKE nchini Kenya wanaendelea kupata sifa kwa jinsi wanavyojituma kufanya mambo ya kawaida kwa njia zisizo za...

Sababu za manahodha kupenda jeti mbovu wakihepa bandari za kisasa

NA KALUME KAZUNGU JETI nyingi ndogo na kuukuu kisiwani Lamu zimeibukia kupendwa kutumiwa na manahodha wengi wa mashua na maboti katika...

‘Utamu wa safari ya baharini ni abiria kujazana kwa jahazi’

NA KALUME KAZUNGU JE, kuna madhara gani kwa abiria na mizigo kujazana kwa vyombo vya usafiri wa majini? Utapata makumi ya abiria, mifugo,...

Mila zinavyoongeza mzigo wa gharama ya mazishi

NA BENSON MATHEKA MILA za jadi zinazokumbatiwa na baadhi ya jamii za humu nchini zimefanya shughuli za mazishi kuwa ghali...

Fahamu mataifa yanayoendelea kutekeleza hukumu ya kifo duniani

NA WANDERI KAMAU BAADA ya Mahakama Kuu kumpa Joseph ‘Jowie’ Irungu hukumu ya kifo kutokana na mauaji ya mfanyabiashara Monicah Kimani...

‘Ladha ya ndoa ya wake wengi ni kuwa wa kwanza’

NA FRIDAH OKACHI MWANAMKE mmoja ambaye aliolewa mke wa tatu, amedai kwamba ladha ya ndoa ya aina hiyo ni “wewe mwanamke kuwa wa...

Pasta James Ng’ang’a ajisafisha dhidi ya madai ya unyakuzi ardhi

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Kanisa la Neno Evangelism Centre, Pasta James Ng’ang’a amewasuta baadhi ya viongozi serikalini ambao...

Hatari ya kugeukia waganga kutatua matatizo ya unyumba na ndoa

NA BENSON MATHEKA WATU wengi humu nchini wanaendelea kupoteza mamilioni ya pesa wakitafuta suluhisho ya matatizo ya ndoa na unyumba kwa...