Na CHARLES WASONGA MPASUKO katika Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ni miongoni mwa masuala ambayo yataangaziwa katika kesi ya...
NA CECIL ODONGO HATUA ya Rais Mteule William Ruto kuvutia upande wake wabunge wa kujitegemea na wale wa vyama vilivyo ndani ya muungano...
NA PIUS MAUNDU SHINIKIZO zinaendelea kutolewa kwa Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka ahame muungano wa Azimio la Umoja na ajiunge na mrengo...
NA GEORGE MUNENE MAWAKILI wa mgombea urais wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga wamesema kuwa, wamekusanya ushahidi wa kutosha...
NA BRIAN OCHARO USHINDI wa Seneta wa Kwale, Boy Issa Juma katika uchaguzi uliokamilika umetiliwa shaka baada ya mpinzani wake, Salim Ali...
NA MARY WANGARI ITAMGHARIMU kinara wa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga, zaidi ya Sh1.5 milioni kuwasilisha kesi ya...
VICTOR RABALLA Na SHABAN MAKOKHA VIONGOZI wa eneo la Magharibi mwa Kenya wanamshutumu mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka Nchini...
NA BRIAN OJAMAA KIONGOZI wa chama cha Ford Kenya, Bw Moses Wetangula amemhakikishia Rais anayeondoka Uhuru Kenyatta kuwa, serikali ya...
NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais mteule Rigathi Gachagua amemtaka Rais Uhuru Kenyatta kuondoka “mafichoni” na kutoa ujumbe wa heri...
NA BENSON MATHEKA NAIBU Rais William Ruto ameweka historia kwa kuwa mwanasiasa wa kwanza nchini Kenya kugombea urais mara ya kwanza na...
NA WINNIE ONYANDO VIONGOZI wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya wamesema kuwa wataendelea kupambana hadi watakapopata...
NA SIAGO CECE TAKRIBAN miezi mitatu iliyopita, Bw Omar Mwaduga alikuwa mkazi wa kawaida kijijini Mshiu, Kaunti ya Kwale, akitafuta kiti...