• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 7:12 PM

UN yatakiwa kuadhibu China kwa kukiuka haki

NA MASHIRIKA WANADIPLOMASIA pamoja na watetezi wa haki za binadamu, wameongeza shinikizo kwa Umoja wa Mataifa (UN) kuchukua hatua dhidi...

Ulimwengu kumuaga Malkia kishujaa leo

NA MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA ZAIDI ya viongozi 200 kutoka sehemu tofauti duniani wataungana na Uingereza kumuaga Malkia Elizabeth...

Miili 440 yapatikana kwenye kaburi Ukraine

NA MASHIRIKA KYIV/KUPIANSK, Ukraine MAAFISA wa serikali ya Ukraine wamepata miili 440 ikiwa imezikwa katika kaburi moja la pamoja katika...

Chanjo ya monkeypox ije Afrika – Wanasayansi

NA MASHIRIKA DRC, CONGO WANASAYANSI wanaiomba Jumuia ya Kimataifa kusambaza chanjo ya ugonjwa wa ndui ya nyani (monkeypox) Afrika. Haya...

Mfalme Charles III aahidi kufuata nyayo za mamake

NA MASHIRIKA MFALME wa Uingereza Charles III amesema alihisi "uzito wa historia" na akaapa kufuata mfano uliowekwa na marehemu mama...

Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 100 wa Al-Shabaab

NA MASHIRIKA MOGADISHU, SOMALIA JESHI la Kitaifa la Somalia (SNA) linaloungwa mkono na wanamgambo wa eneo hilo wanaoitwa Ma'awisley...

Ukraine yakomboa miji iliyokaliwa na Urusi

NA MASHIRIKA KYIV, UKRAINE VIKOSI ya Urusi vimejiondoa katika miji muhimu mashariki mwa Ukraine, huku vikosi vya Ukraine vikiendelea...

Wito Mfalme Charles III arejeshe fuvu la Koitalel

NA TOM MATOKE JAMII ya Nandi imemwomba Mfalme Charles III kufanikisha kurejeshwa nchini kwa fuvu la kichwa cha kiongozi wao wa...

Charles III kutawazwa leo kumrithi mama yake Malkia Elizabeth II

MASHIRIKA na WINNIE ONYANDO MWANAMFALME Charles III anatarajiwa kutawazwa rasmi leo kumrithi Malkia Elizabeth aliyega dunia...

Afrika yaomboleza Elizabeth lakini yakumbuka udhalimu wa Uingereza dhidi ya weusi

NA CECIL ODONGO KIFO cha Malkia Elizabeth II kimetonesha vidonda vya nchi nyingi za Afrika zilizoathiriwa na ukatili wa utawala wa...

Viongozi wa Ulimwengu wamwomboleza Malkia Elizabeth II

NA MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA VIONGOZI kote ulimwenguni wameungana kuomboleza kifo cha Malkia Elizabeth wa Uingereza ambaye alifariki...

Rais atimua waziri mkuu, ashuku njama kumpindua

NA THE EASTAFRICAN BUJUMBURA, BURUNDI RAIS Evariste Ndayishimiye ametimua waziri mkuu wa nchi hiyo huku akidai kuwa kuna njama ya...