• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Jaji akosoa uzuiliaji washukiwa seli muda mrefu

NA BRIAN OCHARO JAJI wa Mahakama ya Mombasa amekosoa kuzuiliwa kwa muda mrefu washukiwa akisema ni udhalimu wa haki. Jaji John Mativo...

Korti yabatilisha uamuzi kuhusu bondi ya Sh300,000

NA JOSEPH WANGUI MAHAKAMA Kuu imebatilisha uamuzi wa mahakama ya chini ulioamuru kufutiliwa mbali kwa dhamana ya Sh300,000 pesa taslimu...

Wito wafungwa washauriwe kabla kuachiliwa

NA KENYA NEWS AGENCY DIWANI wa Kabazi, kaunti ya Nakuru, Dkt Peter Mbae, ametoa wito kwa wataalumu kuwapa ushauri nasaha wafungwa kabla...

Mwilu akemea ongezeko la ubakaji watoto

NA KENYA NEWS AGENCY NAIBU Jaji Mkuu, Philomena Mwilu, amelalamikia ongezeko la visa vya dhuluma za kimapenzi nchini, pamoja na wazazi...

Pigo kwa Sonko IEBC ikimzidi ujanja raundi ya kwanza

PHILIP MUYANGA NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA gavana wa Nairobi, Bw Mike Mbuvi Sonko, alipata pigo Jumanne Mahakama ya Mombasa ilipokataa...

Aliyeachiliwa na Rais asakwa kwa mauaji ya mamaye

NA GEORGE MUNENE MWANAMUME aliyeachiliwa kwa msamaha wa Rais Sikukuu ya Madaraka wiki mbili zilizopita, sasa anasakwa na polisi...

Damaris Nyiva ‘Minam’: Mwalimu na mwigizaji mahiri

NA JOHN KIMWERE NI miongoni mwa wanawake ambao licha ya kuwa ndio mwanzo wameanza kupiga ngoma wamepania kutinga upeo wa kimataifa pia...

Nestlé yaongoza mpango wa kukusanya taka za plastiki katika shule za umma

NA SAMMY WAWERU KAMPUNI ya Nestlé imezindua mpango wa kukusanya taka za plastiki katika shule za msingi za umma, ili kusaidia kudumisha...

Wiki ya Sonko kujua hatima yake ya kuwania

NA BRIAN OCHARO ALIYEKUWA gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko, anatarajiwa kujua hatima yake ya kisiasa wiki hii. Aliwasilisha kesi...

Kang’ata kujua hatma yake ya ugavana leo Jumatatu

NA RICHARD MUNGUTI MWANIAJI wa Ugavana Murang’a kwa tikiti ya chama cha United Democratic Alliance (UDA) Dkt Irungu Kang’ata atajua...

Mwigizaji ashtakiwa kwa kushindwa kulipa bili ya Sh152,550

NA RICHARD MUNGUTI MWIGIZAJI katika Nairobi Diaries kidosho Diana Clara Ojenge amekana kupokea deni la Sh152,550 katika hoteli moja ya...

Wakazi wa Gatundu wapokea miche ya macadamia

NA LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa Gatundu Kusini wapatao 5,000 walipokea miche ya macadamia ili kuboresha kilimo cha zao hilo. Mbunge wa...