NA BRIAN OCHARO JAJI wa Mahakama ya Mombasa amekosoa kuzuiliwa kwa muda mrefu washukiwa akisema ni udhalimu wa haki. Jaji John Mativo...
NA JOSEPH WANGUI MAHAKAMA Kuu imebatilisha uamuzi wa mahakama ya chini ulioamuru kufutiliwa mbali kwa dhamana ya Sh300,000 pesa taslimu...
NA KENYA NEWS AGENCY DIWANI wa Kabazi, kaunti ya Nakuru, Dkt Peter Mbae, ametoa wito kwa wataalumu kuwapa ushauri nasaha wafungwa kabla...
NA KENYA NEWS AGENCY NAIBU Jaji Mkuu, Philomena Mwilu, amelalamikia ongezeko la visa vya dhuluma za kimapenzi nchini, pamoja na wazazi...
PHILIP MUYANGA NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA gavana wa Nairobi, Bw Mike Mbuvi Sonko, alipata pigo Jumanne Mahakama ya Mombasa ilipokataa...
NA GEORGE MUNENE MWANAMUME aliyeachiliwa kwa msamaha wa Rais Sikukuu ya Madaraka wiki mbili zilizopita, sasa anasakwa na polisi...
NA JOHN KIMWERE NI miongoni mwa wanawake ambao licha ya kuwa ndio mwanzo wameanza kupiga ngoma wamepania kutinga upeo wa kimataifa pia...
NA SAMMY WAWERU KAMPUNI ya Nestlé imezindua mpango wa kukusanya taka za plastiki katika shule za msingi za umma, ili kusaidia kudumisha...
NA BRIAN OCHARO ALIYEKUWA gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko, anatarajiwa kujua hatima yake ya kisiasa wiki hii. Aliwasilisha kesi...
NA RICHARD MUNGUTI MWANIAJI wa Ugavana Murang’a kwa tikiti ya chama cha United Democratic Alliance (UDA) Dkt Irungu Kang’ata atajua...
NA RICHARD MUNGUTI MWIGIZAJI katika Nairobi Diaries kidosho Diana Clara Ojenge amekana kupokea deni la Sh152,550 katika hoteli moja ya...
NA LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa Gatundu Kusini wapatao 5,000 walipokea miche ya macadamia ili kuboresha kilimo cha zao hilo. Mbunge wa...