• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Mivutano sasa yatikisa jahazi la Raila Tharaka

NA ALEX NJERU UHASAMA kati ya vyama tanzu katika muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya ulidhihirika wakati wa ziara ya mgombea mwenza wa...

Kiunjuri, Mbunge waagizwa kufika mbele ya IEBC

NA JAMES MURIMI KIONGOZI wa chama cha The Service Party (TSP), Mwangi Kiunjuri na Mbunge wa Laikipia Mashariki, Amin Deddy wameagizwa...

Wawaniaji wa urais washawishi majopo ya IEBC yawarudishe debeni

NA RICHARD MUNGUTI WAWANIAJI kiti cha urais waliokataliwa Alhamisi walifanya kila juhudi wakati wa kipindi cha lala salama kubatilisha...

Shirika lataka wagombea urais watie saini mkataba wa kudumisha amani

NA BENSON MATHEKA KUNDI moja la kijamii nchini limewataka wagombeaji wa urais kuahidi kwamba wataendesha kampeni za amani, kukubali...

Kingi atumai Ruto hatamruka akishinda urais

NA KNA GAVANA wa Kilifi, Bw Amason Kingi, amesisitiza kuwa anaamini Naibu Rais, Dkt William Ruto, atatimiza makubaliano yote...

Wanawake wanadandia wanasiasa ‘kupata riziki’

NA FARHIYA HUSSEIN WANAWAKE eneo la Pwani wametaja hali ngumu ya maisha kuwa sababu kuu ya wao kuhudhuria mikutano ya hadhara ya kisiasa...

Sonko alilia jopo limruhusu awanie ugavana Mombasa

NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA gavana wa Nairobi Mike Sonko mnamo Jumatano aliambia jopo la Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) la...

Wajackoyah kuvumisha biashara ya bangi, nyoka

NA MWANDISHI WETU INGAWA mwaniaji kiti cha Urais kwa tikiti ya chama chake cha Roots Party Prof George Wajackoyah ni mgeni katika siasa...

Kinyang’anyiro 2022: Kaunti ya Lamu

NA KALUME KAZUNGU LAMU ni kaunti nambari 005 iliyo kaskazini mwa Pwani ya Kenya. UKUBWA: Kilomita 6,273 mraba. IDADI YA WATU:...

Kalonzo apata nguvu mpya Ukambani kote

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka, ameanza kupata nguvu mpya katika ngome yake ya kisiasa ya Ukambani baada...

Ugavana: Kesi tatu za Sonko kusikilizwa pamoja

NA RICHARD MUNGUTI WAPIGAKURA wawili wamepinga uidhinishwaji wa Bi Wavinya Ndeti kuwania Ugavana kaunti ya Machakos huku aliyekuwa...

‘Mawaziri wako huru kuunga Raila mkono’

NA RICHARD MUNGUTI MADAI ya Naibu wa Rais Dkt William Samoei Ruto ni kwamba mawaziri wanaopigia debe mwaniaji wa urais wa Azimio Raila...