• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 8:50 AM

Kibarua cha Azimio Mombasa

WINNIE ATIENO NA VALENTINE OBARA MUUNGANO wa Azimio la Umoja- One Kenya, unaoongozwa na kinara wa ODM Raila Odinga, unatarajiwa kukumbwa...

Ugavana Bonde la Ufa wanyima Ruto usingizi

NA ONYANGO K’ONYANGO NAIBU wa Rais William Ruto amejipata njiapanda huku wandani wake wanaomezea mate ugavana katika eneo la Bonde la...

Mngurumo wa Joho wakosekana siasani

NA MWANDISHI WETU USHAWISHI wa Gavana wa Mombasa, Bw Hassan Joho, kwa siasa za Pwani na kitaifa kwa jumla umekosekana kwa takriban wiki...

Kinyang’anyiro cha ugavana Kakamega kuzua kivumbi kikali

NA BENSON AMADALA KITI cha ugavana katika Kaunti ya Kakamega kimezua ushindani mkubwa miongoni mwa wawaniaji wa vyama vya ODM, ANC na...

ODM walalama Jubilee haipigii Raila debe

NA MWANGI MUIRURI WAFUASI wa kinara wa ODM, Raila Odinga wanalalamikia kile wanadai ni hatua ya viongozi wa Jubilee kutompigia debe...

ODM: Waliofaulu mchujo kaunti 2

NA WAANDISHI WETU WAFUASI wa Chama cha ODM katika kaunti mbili za Pwani, sasa wanajua rasmi wanasiasa watakaopeperusha bendera ya chama...

Bunge lajadili kwa uzito changamoto ya uhaba wa mafuta

NA CHARLES WASONGA BUNGE la Kitaifa limeanzisha uchunguzi kuhusu jumla ya pesa ambazo serikali ilikusanya kuelekezwa kwa Hazina ya...

Msaidizi wa Murkomen pia ahojiwa kuhusu shambulio

NA FRED KIBOR POLISI katika Kaunti ya Elgeyo Marakwet, wamemhoji msaidizi wa Seneta Kipchumba Murkomen kuhusiana na kuzomwa na...

Junet, Babu wadadisiwa na DCI

NA CHARLES WASONGA MBUNGE wa Suna Mashariki Junet Mohamed alijiwasilisha katika makao makuu ya Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI)...

Mbunge wa Ugenya ahamia kambi ya Seneta Orengo

NA KASSIM ADINASI SENETA wa Siaya James Orengo amepata nguvu mpya baada ya azma yake ya kutaka kuwa gavana kuungwa mkono na kiongozi wa...

Mbadi sasa adai vijana waliomshambulia Raila walikuwa na mafunzo ya ‘kijeshi’

NA CHARLES WASONGA MWENYEKITI wa ODM John Mbadi sasa anadai kuwa vijana walioshambulia helikopta ya Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga...

ODM yaandaa mchujo kisasa

SIAGO CECE NA LUCY MKANYIKA CHAMA cha ODM kimejiandikishia historia kwa kuandaa mchujo wa wagombeaji wake kupitia kwa njia ya...