• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 9:50 AM

Uhuru Kenyatta atemwa na Jubilee

Na WANGU KANURI ALIYEKUWA Mwakilishi wa Kike katika Kaunti ya Murang'a, Bi Sabina Chege ameteuliwa kama kiongozi wa chama cha...

Wanawake 300 wanaokabiliwa na makali ya njaa wapata afueni

Na TITUS OMINDE ZAIDI ya wanawake na wasichana 300 ambao wako katika hatari kubwa ya njaa kutoka North Rift wamepata afueni baada ya...

MAADHIMISHO: LEBA DEI 2023

Maafisa wa polisi wakitumbuiza wakati wa maadhimisho ya Leba Dei 2023. Picha zote / DENNIS ONSONGO / Nation   Labour Day...

Tanzia: Mwanafunzi amuua mwenzake kutokana na mzozo wa mapenzi

Na TITUS OMINDE POLISI mjini Eldoret wanachunguza kisa ambapo mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa Chuo Kikuu cha Eldoret anadaiwa kumdunga...

Mmoja aokolewa Shakahola

Na ALEX KALAMA MTU mmoja ameokolewa Jumapili katika oparesheni ya kutafuta manusura waliosalia katika msitu wa Shakahola, Kaunti ya...

Polisi aliyepora wafanyabiashara Sh2.8 milioni ashtakiwa

Na JOSEPH NDUNDA AFISA wa Polisi wa utawala ambaye aliwanyaka wafanyabiashara wawili kisha kuwaibia Sh2.8 milioni akidai yeye ni Kachero...

Oparesheni barabarani kupunguza visa vya ajali

Na MERCY KOSKEI MAMLAKA ya Kitaifa ya Uchukuzi na Usalama Barabarani (NTSA) na Huduma ya Kitaifa ya Polisi mnamo Alhamisi ziliendesha...

Idadi ya watu walioangamia Shakahola yagonga 109

NA ALEX KALAMA MAAFISA wanaoendeleza operesheni ya kufukua makaburi ili kutoa mili ya waliokuwa waumini wa dhehebu tata la Good News...

Shakahola: Upasuaji wa maiti kuanza wiki ijayo

NA ALEX KALAMA  SHUGHULI ya upasuaji wa miili ya waliokuwa waumini wa kanisa la Good News International itaanza wiki ijayo ili...

Pasta Ezekiel Odero akamatwa

NA WINNIE ATIENO MHUBIRI Ezekiel Odero wa New Life Church amekamatwa na kwa sasa yuko katika Makao Makuu ya Polisi Pwani jijini Mombasa;...

Adhabu ya kunyongwa yashtua washtakiwa  

Na RICHARD MUNGUTI WAVULANA wawili wa umri wa miaka 21 na 20 mtawalia Jumanne walipata mshtuko mkuu walipofahamishwa wakipatikana na...

Mchuuzi aliyelima wenzake mangumi asamehewa

Na RICHARD MUNGUTI MCHUUZI katika eneo la River Road, jijini Nairobi anayekabiliwa na shtaka la kuwapiga wachuuzi wenzake wawili...