• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Mbappe ndiye mwanasoka mwenye thamani kubwa zaidi duniani

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe, Vinicius Jr na Erling Haaland ndio wachezaji wenye thamani ya juu zaidi duniani. Haya ni kwa mujibu wa...

Carlos Tevez astaafu kwenye ulingo wa soka

Na MASHIRIKA FOWADI wa zamani wa Manchester United, Manchester City, West Ham United na timu ya taifa ya Argentina, Carlos Tevez,...

Lacazette kuondoka Arsenal mnamo Juni 30, 2022

Na MASHIRIKA FOWADI mzoefu raia wa Ufaransa, Alexandre Lacazette, 31, ataagana rasmi na Arsenal mnamo Juni 30, 2022 mkataba wake wa sasa...

Jinsi nidhamu inavyosaidia vijana wa LA FC kupata ufanisi

NA PATRICK KILAVUKA LA FC yenye makao yake katika Shule ya Msingi ya Kiingeroo, kaunti ndogo ya Kabete, Kaunti ya Kiambu imetwaa mara...

Francois Msafiri atimka saa 26 kutoka Eldoret hadi Nairobi kuhubiri amani

NA GEOFFREY ANENE MKIMBIAJI wa mbio ndefu za zaidi ya kilomita 42, Francois Msafiri alikamilisha mbio za kilomita 320 kutoka Eldoret...

Uingereza yazama, Ujerumani ikila sare

Na MASHIRIKA UINGEREZA walianza kampeni zao za Uefa Nations League kwa kichapo cha 1-0 kutoka kwa Hungary jijini Budapest mnamo Jumamosi...

Kibiwott na Aprot nje ya Riadha za Afrika, Conseslus ndani

Na AYUMBA AYODI MSHINDI wa medali ya fedha ya mbio za mita 3,000 kuruka viunzi na maji Abraham Kibiwott na malkia wa Afrika mbio za mita...

Antonio Rudiger aagana rasmi na Chelsea na kuyoyomea Uhispania kuchezea Real Madrid

Na MASHIRIKA BEKI mzoefu wa Ujerumani, Antonio Rudiger, 29, amejiunga rasmi na Real Madrid kwa mkataba wa miaka minne baada ya kuagana na...

Italia na Ujerumani watoshana nguvu katika pambano la Nations League

Na MASHIRIKA CHIPUKIZI wa Italia waliambulia sare ya 1-1 dhidi ya mabingwa mara nne wa dunia, Ujerumani, katika mchuano wa Uefa Nations...

Misri, Ghana mawindoni kufukuzia nafasi ya kuingia AFCON 2023

NA MASHIRIKA MISRI wataanza kuwinda nafasi ya kunogesha fainali za Kombe la Afrika (AFCON) nchini Ivory Coast mnamo 2023 kwa kualika...

Uholanzi wapepeta Ubelgiji katika Uefa Nations League

Na MASHIRIKA UHOLANZI walianza kampeni zao za Uefa Nations League mnamo Ijumaa kwa ushindi mnono wa 4-1 dhidi ya Ubelgiji walioshuhudia...

Kocha Ralf Rangnick aanza kazi ya ukocha kambini mwa Austria kwa ushindi dhidi ya Croatia

Na MASHIRIKA KOCHA Ralf Rangnick alianza kazi kambini mwa Austria kwa kuongoza kikosi chake kupepeta Croatia 3-0 katika gozi la Uefa...