• Nairobi
  • Last Updated May 8th, 2024 5:03 AM

Wataalamu wakiri kafyu ya mapema haina hata umuhimu

Na CHARLES WASONGA WATAALAMU wa afya wameonya kuhusu ongezeko la maambukizi ya corona katika maeneo ya Nairobi, Kiambu, Kajiado, Nakuru...

Mjakazi kupimwa akili

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Jumanne iliamuru mjakazi aliyewaumiza watoto wa mwajiri wake baada ya kutimuliwa kazini apimwe akili baada...

Nairobi Expressway kutatiza usafiri hadi 2022

Na HILARY KIMUYU WAKENYA watalazimika kuvumilia msongamano wa magari kwa mwaka mmoja, barabara ya Nairobi Expressway inapoendelea...

Serikali yasema haijui walikoenda watahiniwa 12,000 wa KCPE

Na FAITH NYAMAI SERIKALI imeshindwa kueleza walikoenda wanafunzi 12,424 waliojisajili kufanya mtihani wa KCPE 2020, shule...

Kizimbani kuhusu ulaghai wa mboga ya Sh40,000

Na RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA wa ulaghai alikana kupokea mboga na matunda yenye thamani ya Sh40,000 akitumia ujanja. Bw Alex Oyula...

Kocha Ronald Koeman kufutwa kazi asiposhindia Barcelona taji lolote msimu huu

Na MASHIRIKA MKUFUNZI Ronald Koeman wa Barcelona amefutilia mbali tetesi atafutwa kazi uwanjani Camp Nou iwapo kikosi chake kitashindwa na...

Kituo cha Walibora hatarini kufifia baada ya kifo chake

GERALD BWISA na ELVIS ONDIEKI KITUO cha kusambazia watoto vitabu kilichoanzishwa na msomi mashuhuri wa Kiswahili, marehemu Prof Ken...

Nia yetu ni kuisaidia Kenya kumudu madeni – IMF

Na VALENTINE OBARA SHIRIKA la Fedha Ulimwenguni (IMF) limejitetea baada ya kukosolewa na Wakenya mitandaoni kwa kuendelea kuipa serikali...

Mfumo mbadala wasaidia KRA kukusanya Sh21 bilioni

Na BENSON MATHEKA MAMLAKA ya Ukusanyaji Ushuru Kenya (KRA), imekusanya zaidi ya Sh21 bilioni kupitia mfumo mbadala wa kutatua mizozo...

Mpangaji taabani kwa kumuua landilodi

Na RICHARD MUNGUTI MPANGAJI alifikishwa kortini kwa kumuua  Landilodi wake wakibishania viatu. Florida Nyawira, 23 alidaiwa alimdunga ...

Mjakazi hatari kukaaa rumande siku 5

Na RICHARD MUNGUTI MJAKAZI hatari anayedaiwa aliwajeruhi watoto wawili baada ya kutimuliwa kazi na mwajiri  kazi mjini Nairobi...

Mawakili wamtoroka Sonko tena

Na RICHARD MUNGUTI KUNDI jipya la mawakili sita waliokuwa wanamwakilisha aliyekuwa gavana wa Nairobi Bw Mike Sonko jana walijiondoa...