• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

DCI Murang’a: Ako wapi Esther Ruguru aliyetoweka Kiria-ini Julai 1, 2023?

NA MWANGI MUIRURI MNAMO Julai 1, 2023 Bi Esther Ruguru, 43, alionekana mwendo wa saa mbili usiku akifunga biashara yake ya hoteli...

Raila Odinga alivyoingia jijini Nairobi kwa staili na kuapa kuendeleza maandamano

NA SAMMY WAWERU KINARA wa Azimio la Umoja Raila Odinga Jumatatu, Julai 10, 2023 aliabiri matatu kuingia jijini Nairobi hatua...

Kamanda Francis Kooli: Afisa tajiri wa utu na moyo kuhudumia jamii

NA JESSE CHENGE MJI wa Bungoma, ulioko eneobunge la Kanduyi ni wenye shughuli tele na ni katika eneo hilo tunakutana na afisa wa polisi...

Makahaba Tana River watangaza nyongeza ya bei ya huduma za ngono

NA STEPHEN ODUOR MAKAHABA katika Kaunti ya Tana River wametoa notisi ya kuongeza bei ya huduma wanazotoa kwa kile wanataja kama...

Ngoi hodari wa nyimbo

NA PATRICK KILAVUKA LUGHA ni njia ya mawasiliano. Inaweza kuwasilisha ujumbe, ushauri na kufahamisha vyema kupitia mzungumzaji. Mnenaji...

Mwanamuziki John Njagi anavyolima mahasidi wake kwa cheche za matusi kiusanii     

NA MWANGI MUIRURI MWANAMUZIKI wa ngoma za ushauri John Njagi anafahamika kwa ueledi wa kusuta wanaomkera kwa maneno mazito ambayo...

Mhudumu wa bucha Ruiru achoma kijana kwa supu moto

NA SAMMY WAWERU MHUDUMU wa bucha eneo la Ruiru, Kiambu anaandamwa na mkono wa sheria baada ya kutumbukiza kijana kwenye sufuria ya supu...

Kidosho wa miaka 27 asema ataoleka baada ya kuwa milionea kupitia kilimo cha mahindi

NA MWANGI MUIRURI KUTANA na Grace Wangechi Kamande mwenye umri wa miaka 27, mzawa wa Kaunti ya Kirinyaga ambaye hushiriki kilimo cha...

Siku ya Kiswahili Duniani yaadhimishwa kwa njia ya kipekee Lamu

NA KALUME KAZUNGU SIKU ya Kiswahili Duniani imeadhimishwa kwa njia ya kipekee kisiwani Lamu ambapo wataalamu wa lugha hiyo, malenga,...

Saba Saba: Raila Odinga amtaka Rais Ruto kukoma ‘kumuibia’ wabunge

NA SAMMY WAWERU KINARA Wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga amemkashifu na kumtaka Rais William Ruto kukoma kuhadaa wabunge wa...

Saba Saba: Msafara wa Raila Kamukunji wafurushwa na polisi

NA SAMMY WAWERU MKUTANO wa Azimio la Umoja katika Uwanja wa Kamukunji, Nairobi Ijumaa, Julai 7, 2023 ulilazimika kusitishwa kufuatia...

Saba Saba: Raila Odinga ataka Chebukati asukumwe jela

NA SAMMY WAWERU KINARA wa Azimio la Umoja Raila Odinga amesisitiza mageuzi kufanyika katika Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC),...