• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 11:13 AM

Gor yarejea kileleni baada ya Tusker kulewa magoli ya Wazito

Na CECIL ODONGO GOR Mahia jana waling'oa Tusker juu ya jedwali la Ligi Kuu ya Kenya (KPL) baada ya kuwapiga Ulinzi Stars mabao 2-0 huku...

Ulinzi Starlets mbioni kutetea ubingwa wa Kombe la FKF

NA TOTO AREGE  ULINZI Starlets wanapania kutetea taji lao mnamo Jumapili watakapomenyana na Nakuru City Queens katika mechi ya fainali...

ADAK yapiga Wakenya 20 marufuku kwa kudaiwa kutumia dawa za kusisimua misuli

Na AYUMBA AYODI SHIRIKA la Kukabiliana na matumizi ya dawa za kusisimua misuli nchini Kenya (ADAK) limepiga marufuku wanamichezo 20 kwa...

Manchester City watandika Manchester United na kujizolea Kombe la FA

Na MASHIRIKA MANCHESTER City waliweka hai matumaini ya kujizolea jumla ya mataji matatu msimu huu baada ya kukomoa majirani zao...

Kigogo Sergio Ramos aagana rasmi na PSG

Na MASHIRIKA BEKI Sergio Ramos, 37, ameagana rasmi na klabu ya Paris Saint-Germain (PSG). Anakuwa mchezaji wa pili wa haiba kubwa...

Mshambuliaji Rafael Leao sasa kuchezea AC Milan hadi mwaka wa 2028

Na MASHIRIKA FOWADI Rafael Leao, 23, ametia saini mkataba mpya wa miaka mitano utakaomdumisha kambini mwa AC Milan hadi mwaka wa...

Florence Diamond League: Chepng’etich afuta rekodi ya dunia ya Dibaba

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Faith Chepng’etich Kipyegon ametimiza ndoto yake ya kumiliki rekodi ya dunia ya mbio za mita 1,500, huku...

Kocha Sam Allardyce abanduka kambini mwa Leeds United

Na MASHIRIKA KOCHA Sam Allardyce ameagana na Leeds United baada ya kipindi kifupi kilichomshuhudia akisimamia michuano minne kukamilika...

FAINALI YA FA: Ni Manchester United au Manchester City?

NA MASHIRIKA MBIVU na mbichi kuhusu nani mkali kati ya Manchester City na Manchester United itajulikana watakapokabana koo katika...

Kampeni ya FIFA ya kukuza soka ya wanawake nchini yakamilika washiriki wakituzwa

NA TOTO AREGE KAMPENI ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kwa ushirikiano na Shirikisho la Soka Nchini (FKF) kuimarisha kandanda ya...

Riadha za Dunia Budapest: Kiptum na Kosgei kuongoza timu ya Kenya kwenye mbio za marathon

Na AYUMBA AYODI MTIMKAJI wa pili bora kwa kasi katika historia ya mbio za kilomita 42, Kelvin Kiptum na mshikilizi wa rekodi ya dunia ya...

AK yaitisha mkutano na makocha wakune vichwa jinsi ya kushinda mbio za masafa marefu

Na AYUMBA AYODI SHIRIKISHO la Riadha Kenya (AK) limeitisha mkutano na makocha 30 kujadili na kuangalia jinsi Kenya inavyoweza kupata...