Na AYUMBA AYODI MAGARI maalum ya “Eliud Kipchoge 1:59 Isuzu D-Max Limited” yamezinduliwa kwa heshima ya bingwa huyo mara mbili wa...
Na MASHIRIKA MANCHESTER United walijikatia tiketi ya kunogesha soka ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu ujao wa 2023-24 baada ya kukomoa...
Na GEOFFREY ANENE MTIMKAJI Ferdinand Omanyala yuko mjini Miramas, Ufaransa kwa mazoezi kabla ya kuanza kampeni yake ya riadha za Diamond...
NA MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA THAMANI ya nyota chipukizi wa Arsenal, Bukayo Saka, imepanda mara tano ndani ya miaka mitatu. Miaka...
NA AREGE RUTH GASPO Women huenda wakapata adhabu kali, ikiwa hawatacheza mechi yao ya mwisho wa msimu wa Ligi Kuu ya Wanawake nchini...
JOHN ASHIHUNDU na MASHIRIKA RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amejitolea kwa hali na mali kuhakikisha klabu ya Young Africans (Yanga)...
NA CHARLES ONGADI BONDIA mwenye tambo kibao kutoka Tanzania, Karim ‘Mtu Kazi' Mandonga ameratibiwa kuzichapa tena na Daniel Wanyonyi...
Na GEOFFREY ANENE NYOTA Faith Chepng’etich Kipyegon huenda akatimiza ndoto yake ya kuwa mshikilizi wa rekodi ya dunia ya mbio za mita...
NA AREGE RUTH WASHAMBULIZI Airin Madalina (Bunyore Starlets) na Wendy Atieno (Thika Queens), wanahemeshana katika kuwania kiatu cha...
Na GEOFFREY ANENE MADEREVA 34 kutoka mataifa 19 wamethibitisha kuwania taji la duru ya dunia ya mashindano ya mbio za magari za Safari...
NA AREGE RUTH KOCHA wa Vihiga Queens Boniface Nyamunyamu anasema, wanaelekeza macho yote katika mashindano ya Baraza la Vyama vya Soka vya...
Na GEOFFREY ANENE MSHIKILIZI wa rekodi ya Afrika mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala ametangaza kuwa yuko tayari kutetemesha kwenye...