• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 8:55 PM

Ujenzi wa kituo cha kisasa kutoa mafunzo na huduma za kilimo Kabete kuanza

NA SAMMY WAWERU UJENZI wa kituo cha kisasa kitakachokuwa kikitoa mafunzo ya kilimo katika Chuo Kikuu cha Nairobi (UoN), bewa la Kabete...

Siku Kibaki alikosa sahani katika hafla ya Moi

Na FRANCIS MUREITHI HAYATI Mzee Mwai Kibaki alilazimika kula chakula kwenye sufuria baada ya kukosa sahani alipochelewa kufika katika...

Barobaro aeleza jinsi alivyofaidika na elimu bila malipo

NA WANDERI KAMAU BAROBARO Kioko Mwinzi ni miongoni mwa maelfu ya vijana ambao walinufaika pakubwa kutokana na Mpango wa Elimu Bila...

Kibaki alipofika kortini kujitetea

JOSEPH WANGUI Na MERCY MWENDE IJAPOKUWA watu wengi walimwona Rais Mstaafu Mwai Kibaki kama tajiri mkubwa, aliwashangaza wengi alipofika...

Kibarua kipya kwa wazazi wanafunzi wakirejea shuleni

NA WANDERI KAMAU HUKU wanafunzi waliofanya mtihani wa Kidato cha Nne (KCSE) wakiendelea kusherehekea matokeo yao, wazazi wanakabiliwa na...

441 kukosa matokeo ya KCSE sababu ya udanganyifu

NA MARY WANGARI JUMLA ya wanafunzi 441 waliofanya Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCSE) 2021 ikiwemo watahiniwa wote katika kituo...

Waislamu Mlima Kenya watoa wito Wakenya wadumishe upendo na amani

NA LAWRENCE ONGARO JAMII ya Waislamu kutoka Mlima Kenya imewahimiza Wakenya wadumishe amani hasa wakati huu taifa linapoelekea katika...

Ijumaa, Aprili 29 ni sikukuu ya mapumziko Kenya kwa heshima ya Kibaki – Matiang’i

NA CHARLES WASONGA SERIKALI ya Kenya imetawaza Ijumaa, Aprili 29, 2022 kuwa Siku ya Mapumziko ili kutoa nafasi ya kufanyika kwa ibada ya...

TSC kuwatuza walimu wachapakazi

NA WINNIE ONYANDO WIZARA ya Elimu itazindua tuzo kuwatambua walimu wanaotia bidii na kuhakikisha wanafunzi wanapata matokeo...

Arteta akiri hajakuwa akimtendea Nketiah haki kwa kumlisha benchi kambini mwa Arsenal

Na MASHIRIKA MKUFUNZI Mikel Arteta amekiri kuwa “hajakuwa akimtendea haki” fowadi Eddie Nketiah baada ya chipukizi huyo raia wa...

‘ Wajungle’ kuwania ugavana na tikiti ya kujitegemea( Independent)

Na LAWRENCE ONGARO MBUNGE wa Thika, Bw Patrick 'Jungle' Wainaina, amesema atawania kiti cha ugavana wa kaunti ya Kiambu na tikiti ya...

Shujaa kikaangoni ikilenga robo-fainali Vancouver 7s

NA GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya raga ya Kenya Shujaa itavaana na Amerika, Fiji na Uingereza katika mechi kali za Kundi A kwenye Raga...