• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Dereva ashtakiwa kuteka nyara polisi

NA RICHARD MUNGUTI DEREVA wa gari la kibinafsi na abiria wake Jumanne walishtakiwa kumteka nyara afisa wa polisi. Afisa huyo Koplo...

Mwanafunzi wa chuo akana kumiliki nakala za KCPE na KCSE kinyume cha sheria

NA RICHARD MUNGUTI MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Zetech alishtakiwa Jumatatu kwa kupatikana na karatasi za mtihani wa kitaifa unaoendelea...

Mamia wahama Kerio mashambulio yakizidi

FRED KIBOR Na STANLEY KIMUGE MAMIA ya familia zinatoroka kutoka Bonde la Kerio kutafuta hifadhi katika miteremko ya Elgeyo, kutokana na...

NTSA yatoa mafunzo mapya kwa madereva

Na WANGU KANURI MAMLAKA ya Usalama Barabarani (NTSA) imetangaza mikakati ya kuanzisha mtaala wa kielektroniki wa kuwatahini madereva wote...

Kagure akanusha madai ya kughushi hati ya ardhi

NA RICHARD MUNGUTI MWANIAJI wa kiti cha Ugavana kaunti ya Nairobi Agnes Kagure anatuhumiwa kughushi stakabadhi za umiliki wa mali ya...

Leicester City wakomoa Brentford na kupaa hadi 10-bora katika jedwali la EPL

Na MASHIRIKA TIMOTHY Castagne na James Maddison walifunga bao kila mmoja na kusaidia waajiri wao Leicester City kusajili ushindi wa 2-1...

Baadhi ya wakazi wa Thika wafanya maandamano wakitaka Ruto akome kumshambulia bosi wake

NA LAWRENCE ONGARO BAADHI ya wakazi wa Thika walifanya maandamano kulaani matamshi yaliyotolewa na Naibu Rais Dkt William Ruto wikendi...

Serikali yaondolea wadhimini wa michezo ushuru

Na GEOFFREY ANENE WATU binafsi na kampuni zinazodhamini michezo zina sababu ya kutabasamu baada ya serikali kuamua kuwaondolea ushuru kwa...

‘Polisi walioitisha hongo kwa sababu ya barakoa wameachia Wakenya umaskini’

[embed]https://www.youtube.com/watch?v=dBMxqXL2aD4[/embed]

Msako: Polisi waonja uhuni wa bodaboda

MARY WANGARI, BRIAN OJAMAA, WANGU KANURI TABIA ya uhuni na kujichukulia sheria mikononi imezidi kujitokeza wazi miongoni mwa waendeshaji...

Diwani asikitishwa na wakulima kuendelea kuasi kahawa

NA SAMMY WAWERU DIWANI wa wadi ya Murera, Ruiru, John Wokabi ameelezea kusikitishwa kwake na kuendelea kudorora kwa kilimo cha kahawa...

Anayedaiwa kubaka na kuiba apewa dhamana

NA TITUS OMINDE MSHUKIWA wa ubakaji anayedaiwa kuwaibia na kuwabaka wanawake katika miji ya Eldoret, Kitale, Bungoma jana Jumatano...