NA RICHARD MUNGUTI DEREVA wa gari la kibinafsi na abiria wake Jumanne walishtakiwa kumteka nyara afisa wa polisi. Afisa huyo Koplo...
NA RICHARD MUNGUTI MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Zetech alishtakiwa Jumatatu kwa kupatikana na karatasi za mtihani wa kitaifa unaoendelea...
FRED KIBOR Na STANLEY KIMUGE MAMIA ya familia zinatoroka kutoka Bonde la Kerio kutafuta hifadhi katika miteremko ya Elgeyo, kutokana na...
Na WANGU KANURI MAMLAKA ya Usalama Barabarani (NTSA) imetangaza mikakati ya kuanzisha mtaala wa kielektroniki wa kuwatahini madereva wote...
NA RICHARD MUNGUTI MWANIAJI wa kiti cha Ugavana kaunti ya Nairobi Agnes Kagure anatuhumiwa kughushi stakabadhi za umiliki wa mali ya...
Na MASHIRIKA TIMOTHY Castagne na James Maddison walifunga bao kila mmoja na kusaidia waajiri wao Leicester City kusajili ushindi wa 2-1...
NA LAWRENCE ONGARO BAADHI ya wakazi wa Thika walifanya maandamano kulaani matamshi yaliyotolewa na Naibu Rais Dkt William Ruto wikendi...
Na GEOFFREY ANENE WATU binafsi na kampuni zinazodhamini michezo zina sababu ya kutabasamu baada ya serikali kuamua kuwaondolea ushuru kwa...
[embed]https://www.youtube.com/watch?v=dBMxqXL2aD4[/embed]
MARY WANGARI, BRIAN OJAMAA, WANGU KANURI TABIA ya uhuni na kujichukulia sheria mikononi imezidi kujitokeza wazi miongoni mwa waendeshaji...
NA SAMMY WAWERU DIWANI wa wadi ya Murera, Ruiru, John Wokabi ameelezea kusikitishwa kwake na kuendelea kudorora kwa kilimo cha kahawa...
NA TITUS OMINDE MSHUKIWA wa ubakaji anayedaiwa kuwaibia na kuwabaka wanawake katika miji ya Eldoret, Kitale, Bungoma jana Jumatano...