• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 6:55 AM

Red Devils wafufuka Spurs na Arsenal wakila marungu

NA MASHIRIKA KUJIKWAA kwa Tottenham Hotspur na kuteleza zaidi kwa Arsenal katika mechi zao za Jumamosi, kulifufua matumaini ya...

Juventus na Bologna nguvu sawa

Na MASHIRIKA MATUMAINI ya Juventus kufuzu kwa soka ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu ujao wa 2022-23 yalididimizwa na Bologna...

Dortmund yadhalilisha Wolfsburg

Na MASHIRIKA BORUSSIA Dortmund walifunga mabao matano katika kipindi cha kwanza na kuzamisha chombo cha Wolfsburg kwa magoli 6-1 kwenye...

Liverpool yadengua Man-City FA

Na MASHIRIKA LIVERPOOL waliweka hai matumaini ya kujizolea mataji manne kwenye kampeni za msimu huu baada ya kukomoa Manchester City 3-2...

Ronaldo abeba Man-United dhidi ya Norwich City

Na MASHIRIKA CRISTIANO Ronaldo alifunga mabao matatu katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Norwich City kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL)...

Dereva Kimathi atarajia Croatia Rally

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Afrika kitengo cha chipukizi cha mbio za magari 2021 McRae Kimathi na mwelekezi wake Mwangi Kioni...

Trailblazers yapania kutinga fainali za Klabu Bingwa Afrika (CAVB) mwaka ujao

Na JOHN KIMWERE TIMU ya wanaume ya Trailblazers ndio mwanzo inashiriki mechi za ligi kuu ya voliboli nchini lakini inaonekana inalenga...

Kocha wa Bayern asema anatishiwa maisha baada ya kikosi chake kuaga UEFA

Na MASHIRIKA KOCHA Julian Nagelsmann amesema ametishiwa maisha kupitia mitandao ya kijamii baada ya waajiri wake Bayern Munich kudenguliwa...

Southampton yaendeleza masaibu ya Arsenal

Na MASHIRIKA KOCHA Mikel Arteta amekiri kwamba kudorora kwa fomu ya kikosi chake cha Arsenal “kunazua hofu” baada ya kupokea kichapo...

Brighton yazamisha Spurs

Na MASHIRIKA BAO kutoka kwa Leandro Trossard mwishoni mwa kipindi cha pili liliwezesha Brighton kusajili ushindi wa 1-0 dhidi ya Tottenham...

Fortune yapania kusajili watatu

Na JOHN KIMWERE KOCHA wa Fortune Sacco, Nicodemus Omasete amesema wamepania kusajili wachana nyavu watatu endapo Kamati Huru...

Ushindani mkali kushuhudiwa mechi za KWPL

Na JOHN KIMWERE KIVUMBI kikali kinatazamiwa kushuhudiwa wikendi hii kwenye kampeni za mechi za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka la...