• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 9:50 AM

Wenyeji Uingereza wapepeta Uhispania na kufuzu kwa nusu-fainali za Euro za wanawake 2022

Na MASHIRIKA VIPUSA wa Uingereza walifuzu kwa nusu-fainali za Euro 2022 mwaka huu baada ya kutoka nyuma na kukomoa Uhispania 2-1 katika...

Mwanatenisi Okutoyi aanza kuona matunda ya jasho lake, VasPro yammwagia nusu milioni

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Angella Okutoyi ameeleza kufurahishwa na wadhamini kuanza kujitokeza kumpiga jeki baada ya kampuni ya kutoa...

Mashabiki wa Man Utd wafokea nahodha Maguire licha ya klabu kushinda mechi za kujipima nguvu Australia

Na MASHIRIKA MELBOUNE, Australia Nahodha wa Manchester United, Harry Maguire ameendelea kukabiliana na foka za mashabiki, licha ya...

Raha tele mwanariadha Kasyoka akimtunuku baiskeli daktari wa viungo Alex Otieno

Na GEOFFREY ANENE MNYANYUAJI wa zamani wa kimataifa wa Kenya Alex Otieno ameelezea furaha yake baada ya mwanzilishi wa Machakos Great...

Nyanza Prisons yajiwekea malengo ya kunyakua taji la Afrika miaka mitano ijayo

NA JOHN KIMWERE TIMU ya wanaume ya Maafande wa Nyanza Prisons ni kati ya vikosi ambavyo hushiriki kipute cha voliboli ya Ligi Kuu...

Ufaransa wazima matumaini ya vipusa wa Iceland kutinga robo-fainali za Euro 2022

Na MASHIRIKA WAREMBO wa Iceland waliaga kipute cha Euro 2022 baada ya kulazimishiwa sare ya 1-1 na Ufaransa mnamo Jumatatu usiku...

Warembo wa Ubelgiji wapepeta Italia na kufuzu kwa robo-fainali za Euro kwa mara ya kwanza katika historia

Na MASHIRIKA VIPUSA wa Ubelgiji walitinga robo-fainali za Euro 2022 kwa mara ya kwanza katika historia baada ya kupepeta Italia 1-0...

Zlatan Ibrahimovic atia saini mkataba mpya wa mwaka mmoja kambini mwa AC Milan

Na MASHIRIKA KIGOGO Zlatan Ibrahimovic amerefusha muda wa kuhudumu kwake kambini mwa AC Milan ya Italia kwa mkataba wa mwaka mmoja...

Arsenal waafikiana na Man-City kuhusu uhamisho wa Oleksandr Zinchenko hadi ugani Emirates

Na MASHIRIKA ARSENAL wameafikiana na Manchester City kuhusu uhamisho wa nyota Oleksandr Zinchenko, hadi uwanjani Emirates kwa Sh4.2...

Red Devils wamnyaka Martinez wa Ajax

NA MASHIRIKA BEKI Lisandro Martinez, 24, anatarajiwa kupiga jeki safu ya ulinzi ya Manchester United baada ya kuagana na Ajax ya Ligi...

Korir avunia Kenya fedha marathon ya dunia nchini USA

NA GEOFFREY ANENE KENYA iliridhika na medali ya fedha katika marathon za kinadada kupitia kwa Judith Jeptum Korir kwenye Riadha za Dunia...

Makarios yazidi kufanya kweli Daraja la Pili

Na JOHN KIMWERE MAKARIOS 111 FC (Riruta United) imeendelea kupata matokeo mema kwenye mechi za Kundi B Ligi ya Taifa Daraja la Pili...